Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe mwanamke ungekuwa karibu ningekupiga kwenzi.!!
Una masikio gani yasiyosikia??
Mimi sina uhusiano km unataka nikuungishe cake sema.!! Haya tengeneza y’a elfu 50 wapelekee watoto yatima walio karibu nawe.!!
Niletee bill yangu nikulipe.!
Khaaa NkamuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwahiyo hii oda hutaki kabisa
Kweli umekaza

Sawa Nkamu 😍
Weekend nitafanya hivyoπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…