Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Masaa 4 tu nsi-surrender nkaita mama Moja pale msimbazi yuko powa nikampanga vzr simu zikapigwa nikatokaπππUngekaa siku mbili ungepungua kilo 7
Uniforwardie basi.Unasoma nini? π€£π€£π€£
Ukimaliza nishtue nikuone miss selfika wetu π»π»π»
π€£π€£π€£π€£ Nyamwi umenichekesha sana ujue.!!Naona wivu....
Pls sipendi ui nteract na lamami
Hata na mm msambwanda nnao babanguπ
Wifi tuma hapa na wengine tusafishe machoN
Nitume hapa au pm babangu..?
Sister merry Tena wa parokia ya wapiππ€£π€£π€£π€£ Nyamwi umenichekesha sana ujue.!!
Huyo raraa mi namzingua bana, huyo wako mbona nilishakukaribisha wifi..!!
Mimi niko single humu, sister Merry Sina madhara kabisaa.!! Ondoa hofu..!
Na wewe raraa reree acha kumkwaza wifi πππ
πππMasaa 4 tu nsi-surrender nkaita mama Moja pale msimbazi yuko powa nikampanga vzr simu zikapigwa nikatoka
Kaingia mitini ππUniforwardie basi.
Parokia yβa mtoto Yesu πππSister merry Tena wa parokia ya wapiπ
Alafu kubadili badili I'd tu muoneParokia yβa mtoto Yesu πππ
Afadhari...mana nilianza kukuchukiaπ€£π€£π€£π€£π€£ Nyamwi umenichekesha sana ujue.!!
Huyo raraa mi namzingua bana, huyo wako mbona nilishakukaribisha wifi..!!
Mimi niko single humu, sister Merry Sina madhara kabisaa.!! Ondoa hofu..!
Na wewe raraa reree acha kumkwaza wifi πππ
ππHuu mwili wa kagame mtaishia kunicheka
Weee πππAlafu kubadili badili I'd tu muone
SawaWeee πππ
Id zangu mbili hii na labella.
Ile hata siitumii toka nimerudishiwa hii..
Ile nikiingia basi kuna mtu labda nachat naye.
Wala usinichukie huyo raraa wako na atakayemlia mingo nakushtua we tulia πππAfadhari...mana nilianza kukuchukiaπ€£
Nasubiri hata ungekuwa wa kijogoo πππππHuu mwili wa kagame mtaishia kunicheka
Tabia mbaya hiyo πππAkiona raraa reree inatosha
Naogopa husda za wajaπ