Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ya Jana Ni tofauti na ya kwenye Avatar pia Ni tofauti na nilivyo Sasa.Eti unaanza kusuka? Sio kwa mchicha ule na nikivyokuta Jana wanasifia nywele basi nikajua moja kwa moja ile ilikuwaga ni yako OG
Nitaweka mkiondokaKweli kabisaa jamani
HahahahahaDah! Usifute ngoja nipite page kwa page
Yesu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi nioneshe mambo yasiwe mengiYa Jana Ni tofauti na ya kwenye Avatar pia Ni tofauti na nilivyo Sasa.
Nyakati 3 tofauti
Kweli nakuambiaHahaha..unanipaka mafuta ujue
Naona bega tuu
Wewe mie nipo huko juuYesu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amewadanganya jamani...huyo Ni yeye
Nitaweka muda msiotarajia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi nioneshe mambo yasiwe mengi
Bega la Anne ilo 😂Naona bega tuu
That's not my dressing code...Naona bega tuu
Wewe chimba chimba tu, ukishagundua mimi ndio nyete roho itakutulia.Alipita ila hajatuma picha na Mother Confessor ndiyo sijamuona kabisa na Relief Mirzska naye sijui kapita kimya halafu nimegundua humu waliotuma picha wengi ni wanawake yaani wanaume waliotuma ni wachache sana tena siyo wale tunaokutanaga nao kule MMU yaani wengi wameuchuna aise
Muda nitakao kuwa offlineNitaweka muda msiotarajia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wowote ule usioujua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda nitakao kuwa offline
Hasa kwa wale waliokodoa macho kuchungulia picha za watuHuu uzi unakula sana muda
Brother nikuchomolee betri?Wewe chimba chimba tu, ukishagundua mimi ndio nyete roho itakutulia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
RuksaaNaruhusiwa kupost za wachuchu wa jf ninaowajua bila kuwataja majina??