Wewe wasemaUmemuaibisha sana huyo mtu.
Kaka una shingo ya ngazi ngazi π
maanake umemuambia awe anaoga mbele ya umati.Wewe wasema
Mambo yetu tuachie wenyewemaanake umemuambia awe anaoga mbele ya umati.
Baelezee baambie πππMambo yetu tuachie wenyewe
Mimi namshikaga dada yakoππVincenzo Jr utashikwa hadi kalio uchekeleeπ
nzuri mkuu
Gracias amigo πnzuri mkuu
Fafanua nzuri picha au mzuri yeyeπnzuri mkuu
Mwanaume anakuaje mzuri mkuu?Fafanua nzuri picha au mzuri yeyeπ
Ndio maana nikaomba ufafanuzi.Mwanaume anakuaje mzuri mkuu?
Nimesema nzuri tu kama kumaanisha nimeona , unafanya maisha kuwa magumu sana mkuuπ€Ndio maana nikaomba ufafanuzi.
Kwa hiyo picha ni nzuri na sio mwenye picha na picha yake, π
Pande zipi mkuu?Blood