Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kama ni hyo bora tununue matunda uandae juiceAzam embe 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni hyo bora tununue matunda uandae juiceAzam embe 🤣🤣
uwiiimshamba_hachekwi
Shavu hili hapa
Aisee! No comment 💋💋💋
Sawa piaKama ni hyo bora tununue matunda uandae juice
Ningesema bia vip😀Kama ni hyo bora tununue matunda uandae juice
Nzuri.Samahani kwa nini wapishi wengi mnapenda kuweka ubweche wa mviringo?Nimepata wageni wamenidai wali maharage 😃
Mpaji Mungu njoo uungane nao
@ephen ndiz zako kesho njoo Leo ule mandondo 😀View attachment 3085723
Babu jeans Kali sh ngap hiyo nimnunulie mjukuu wako labda atanipa kadi yake ya bank nitembee nayo 😃😃
Sijui sababu nafikir ni kufanya chakula kiwe na muonekano mzuri wengine hutumia bakuli kupimia waliNzuri.Samahani kwa nini wapishi wengi mnapenda kuweka ubweche wa mviringo?
Usiongeee kwa sautiNingesema bia vip😀
Hahaha............andaa shilingi 30,000 tu hapo KariakooBabu jeans Kali sh ngap hiyo nimnunulie mjukuu wako labda atanipa kadi yake ya bank nitembee nayo 😃😃
Eeh hayo mambo muhimu sana hayo yanaboost penzi😀Hahaha............andaa shilingi 30,000 tu hapo Kariakoo
Kweli umekuwa Mjukuu, hadi umejua Mkwe naye anahitaji zawadi 🤗
Usisahau kumnunulia na wallet ukiweza, itafanya Mkwe awe anakuwaza Kila Siku 😜Eeh hayo mambo muhimu sana hayo yanaboost penzi😀
Asante sana Babu ngoja nianze kutunza buku buku nampa wallet namuwekea na elf 3. 🤣🤣Usisahau kumnunulia na wallet ukiweza, itafanya Mkwe awe anakuwaza Kila Siku 😜
Hapo sawa 🤗Asante sana Babu ngoja nianze kutunza buku buku nampa wallet namuwekea na elf 3. 🤣🤣
Nice picture brother 😎😎😎