Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Tayari nimeshaangalia vizuri, ulishaanza ubishoo umekula ndula mwenyewe πππππUsiniambie macho yako yamekufa mbantu!! Angaliaa vizuri hebu
Wakat upo sitimbi chino mm wakat huo nipo form one DFb leo wamenikumbusha!! Miaka ishirini na moja iliyopita hiyo. Oya we mzee sumbai ulikuwa wapi na Bantu Lady those days.
View attachment 3093473
Lamomy wangu ndio ndio alikua ameanza kutambaa
Is meπWho is πππ Samantha Lewthwaite
Amen Mjukuu πππishallah babu π π π π π
Hahahaha mzee ulitisha saaana.Fb leo wamenikumbusha!! Miaka ishirini na moja iliyopita hiyo. Oya we mzee sumbai ulikuwa wapi na Bantu Lady those days.
View attachment 3093473
Lamomy wangu ndio ndio alikua ameanza kutambaa
Wee....Wakat upo sitimbi chino mm wakat huo nipo form one D
Assalamualaikum tajiri yangu huna baya pokea salamu zangu kutoka kigambonino ππππ π π π π Chino nikupe mji, uniambie wewe ni yupi hapo.
Karibu sana kigamboni hapa tupate supu nzito ya kongoro na chapati mixer bia ya safari lagaaaπππIs meπ
Karibu Zanzibar piaKaribu sana kigamboni hapa tupate supu nzito ya kongoro na chapati mixer bia ya safari lagaaaπππ
Huo mchanganyiko hatari Kwa afyaKaribu sana kigamboni hapa tupate supu nzito ya kongoro na chapati mixer bia ya safari lagaaaπππ
JF ina watu bhana Sama whaaaaaatWho is πππ Samantha Lewthwaite
LewthwaiteJF ina watu bhana Sama whaaaaaat
Embu tupia basi Samaaaa βΊοΈLewthwaite
Mashallah π π kizimkazi aisee naja huko soon naingia hapoKaribu Zanzibar pia
Utaniambia nini weweWakat upo sitimbi chino mm wakat huo nipo form one D
Mtoto wa kizenzibar huyo kizimkazi finest aisee mashallah sana huyoππJF ina watu bhana Sama whaaaaaat
Nipo unguja mmMashallah π π kizimkazi aisee naja huko soon naingia hapo