Jaribu inanoga sanaHii ktu nitajaribu siku moja
Min hizi sizitaki weka pic yako bana πHapo mwaka jana nilitembelea rombo
Unakopa ili uleweπ€£π€£π€£π€£nimekopa kausha damu nikafuraishe moyo Bantu Lady Lamomy
Itakubali tuWacha tuone ila VAR inagoma huku π€£π€£π€£
Oyoooooo.!! Mwachi unakula bata leo mdogo wangu!! Nipe location nitimbe basi ππnimekopa kausha damu nikafuraishe moyo Bantu Lady Lamomy
Life is too short π€£π€£π€£Unakopa ili uleweπ€£π€£π€£π€£
Selfika basi mrembo πItakubali tu
fishmarket (Capetown) ahahhaπ ur welcomeOyoooooo.!! Mwachi unakula bata leo mdogo wangu!! Nipe location nitimbe basi ππ
Em angalia vizuri unaweza ukaniona ujue π€£π€£π€£fishmarket (Capetown) ahahhaπ ur welcome
acha utani au ndio ww ulie kaa na babu wa kizungu hapa πππ utaniEm angalia vizuri unaweza ukaniona ujue π€£π€£π€£
πππ Mi na vibabu vya kazi gani??acha utani au ndio ww ulie kaa na babu wa kizungu hapa πππ utani
kavaa gauniπππ Mi na vibabu vya kazi gani??
Hao wawachukue wadangaji, mimi nipo na shost yangu mmoja hivi..!
Sema ulivyo kichaa unaweza kutufata sitoi maelezo mengi..!
Tulia wewe π€£π€£kavaa gauni
ahahah embu agiza mojito Inifikie hapaTulia wewe π€£π€£
πππ Tulia hapo hapo muda wa band utaniona nikiyarudi masebeneahahah embu agiza mojito Inifikie hapa
nitakuwa nishaama kiwanja band leo naona.haipo goodπππ Tulia hapo hapo muda wa band utaniona nikiyarudi masebene
Nzuri sana mdogo wangu. Raha jipe mwenyewe. Nimefurahi #selflovenimekopa kausha damu nikafuraishe moyo Bantu Lady Lamomy
we acha tu ndugu moyo ukitaka kitu bas ukai kwa aman mda wote unapurukuta tuUnakopa ili uleweπ€£π€£π€£π€£
kabisa ukisubiri kupewa utapewa umezeeka ata meno ya kutafuna nyama yatakuwa yashatokaNzuri sana mdogo wangu. Raha jipe mwenyewe. Nimefurahi #selflove