Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
hongereni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umekosa kumuona my babe. Ni balaa 🔥🔥🔥🔥 mpaka sasa anaongoza kwa wanaume wa Selfika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongereni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umekosa kumuona my babe. Ni balaa 🔥🔥🔥🔥 mpaka sasa anaongoza kwa wanaume wa Selfika.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka hadi machozi, eti imebarikiwa ugomvi na ubishi 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌 Odo hebu niache kwanza. Mbavu zinauma dahYani mmechaguana wote mna magari na pesa dah!! 😍😍
Mi couple yangu imebarikiwa ugomvi na ubishi 🤣🤣🤣
😂😂😂😅😅😅 ila wewe unafurahisha ase
inashangaza ila tufanyeje sasa mkuuata pikipiki
Mungu akutunze
ndio tupo tunasimangwa hapa sisi ambao hatuna magariinashangaza ila tufanyeje sasa mkuu
😂😂😂😂 Acha tyuu.!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka hadi machozi, eti imebarikiwa ugomvi na ubishi 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌 Odo hebu niache kwanza. Mbavu zinauma dah
Tupia picha acha siasaYani mmechaguana wote mna magari na pesa dah!! 😍😍
Mi couple yangu imebarikiwa ugomvi na ubishi 🤣🤣🤣
kijana ulipotea
Me & my babe leo tutakavyojipongeza kwa ushindi wa Yanga 😂😂😂Tupia picha acha siasa
Umeanza miosho sasa 😂😂😂humu jf nimekuja kugundua kuna watu wengi wananikubali sema tu ndio hawatak kukili ilo nafwatiliwa na wengi sana ase haya na mm nawasalimu nawapenda pia
Amkia wakubwa kwanza.kijana ulipotea
shikamooooooooooooAmkia wakubwa kwanza.
Nimemlipa my bae kikiboxer 😅😅😅😅Odo unatufokea na tako la nyani 😥😥
ahahaah kuna kitu nimeambiwa uko pm na pm mpya that why najitamba au unataka ku.ilogaUmeanza miosho sasa 😂😂😂
ngoja na mm niwalipeNimemlipa my bae kikiboxer 😅😅😅😅
Ulipe na la pembeni sawa?ngoja na mm niwalipe
nikitumipia langu hapa selfika watanirogaUlipe na la pembeni sawa?