Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Safi sanaπShem kama shem, ukisema wewe mimi ni nani nikatae. Chuma yetu ipo nai pimp kila nikipata muda, sasa hivi iko π₯
Promota yoyote ajitokeze tuweke shindano la ngumi ili tuone nani hajui na nani mbabeπHujui chochote tulia.
Ndio πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko hizo ni za wadangajiii? Woiiiiih
Tajiriiiiiiiiiiiiiii πππOdo Lamomy Mwachiluwi twendeni shopping ndogo ya Jumanne. Babe kikiboxer β€οΈ nikukute wapi?View attachment 3098245
Ngumi za nini?π wakati mrembo mwenyewe kasha ni approve?Promota yoyote ajitokeze tuweke shindano la ngumi ili tuone nani hajui na nani mbabeπ
Wacha weeeeh.!!
Yako usifute shem uwainspae wanaume wasio na magari watafute ππWalaa siogopi naona ni utaratibu tu watu huweka picha na kuzifuta baada ya mudaπ
ahahah kwanini?Wacha weeeeh.!!
Mwachi hiyo picha imepigwa kwa mwanga wa jua? ππ
πππ kwani na ww ni shemeji??π€
Bantu Lady kwahiyo umeniacha?
kama muda hauruhusu?Yako usifute shem uwainspae wanaume wasio na magari watafute ππ
Wacha weeeh!! πππSimuachi maana yake ndio linapaa yani tuwe hewaniπ
Odo wangu kisu kazi kwenu mashemeji ππBabe wanaokutaka humu ni mamia kwa maelfu, namimi najua wewe ni pisi. wakija wakatae kama huyuπ
π€£π€£π€£π€£ tema mate tumchapeKwahiyo unanizodoa
Huyo hapana alisema tu ananipenda. Basi kaunganisha tela. Nina babe mmoja tu. Anajijua Odo, nimecheka hapo kwa Waebrania una maneno Odo π€£π€£π€£π€£π€£Odo useme isijekuwa umewapanga waebrania ππ
Umemtaja Madame B nimecheka sanaa!!π€£π€£π€£π€£π€£ hili nililijua utalisema tu. Hatupendani. Kila mtu ana wake. Mimi nimekufa nikaoza kwa my babe. Wewe nakuweka kwa dada mkubwa Madame B.
Humu ndani mpk waheshimiwa mpo? ππ
Ungemfaidi kwenye Jukwaa la wakubwa. Huko alikuwa balaa lililoshindikana. Mtu poa sana na nampenda Madame BUmemtaja Madame B nimecheka sanaa!!
Huyo Madame ana balaa sana.!!πππ