Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Safi sana😂Shem kama shem, ukisema wewe mimi ni nani nikatae. Chuma yetu ipo nai pimp kila nikipata muda, sasa hivi iko 🔥
Tupo pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana😂Shem kama shem, ukisema wewe mimi ni nani nikatae. Chuma yetu ipo nai pimp kila nikipata muda, sasa hivi iko 🔥
Promota yoyote ajitokeze tuweke shindano la ngumi ili tuone nani hajui na nani mbabe😎Hujui chochote tulia.
Ndio 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko hizo ni za wadangajiii? Woiiiiih
Tajiriiiiiiiiiiiiiii 😍😍😍Odo Lamomy Mwachiluwi twendeni shopping ndogo ya Jumanne. Babe kikiboxer ❤️ nikukute wapi?View attachment 3098245
Ngumi za nini?😄 wakati mrembo mwenyewe kasha ni approve?Promota yoyote ajitokeze tuweke shindano la ngumi ili tuone nani hajui na nani mbabe😎
Wacha weeeeh.!!
Yako usifute shem uwainspae wanaume wasio na magari watafute 😂😂Walaa siogopi naona ni utaratibu tu watu huweka picha na kuzifuta baada ya muda😄
ahahah kwanini?Wacha weeeeh.!!
Mwachi hiyo picha imepigwa kwa mwanga wa jua? 😂😂
😂😂😂 kwani na ww ni shemeji??🤔
Bantu Lady kwahiyo umeniacha?
kama muda hauruhusu?Yako usifute shem uwainspae wanaume wasio na magari watafute 😂😂
Wacha weeeh!! 😂😂😂Simuachi maana yake ndio linapaa yani tuwe hewani😂
Odo wangu kisu kazi kwenu mashemeji 😂😂Babe wanaokutaka humu ni mamia kwa maelfu, namimi najua wewe ni pisi. wakija wakatae kama huyu😂
🤣🤣🤣🤣 tema mate tumchapeKwahiyo unanizodoa
Huyo hapana alisema tu ananipenda. Basi kaunganisha tela. Nina babe mmoja tu. Anajijua Odo, nimecheka hapo kwa Waebrania una maneno Odo 🤣🤣🤣🤣🤣Odo useme isijekuwa umewapanga waebrania 😂😂
Umemtaja Madame B nimecheka sanaa!!🤣🤣🤣🤣🤣 hili nililijua utalisema tu. Hatupendani. Kila mtu ana wake. Mimi nimekufa nikaoza kwa my babe. Wewe nakuweka kwa dada mkubwa Madame B.
Humu ndani mpk waheshimiwa mpo? 😍😍
Ungemfaidi kwenye Jukwaa la wakubwa. Huko alikuwa balaa lililoshindikana. Mtu poa sana na nampenda Madame BUmemtaja Madame B nimecheka sanaa!!
Huyo Madame ana balaa sana.!!😂😂😂