Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Baba mtu ana ndevu km Ossama ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Weee ๐Ÿคฃ.

Moja, ushawahi kuona simba dume asiye na Ndevu?

Mbili, zile za Osama hazikuwa na matunzo.

Yaani kabisa hizi zangu unazilinganisha na za Osama? Hebu cheki hiyo line-upโ€ฆ.

IMG_7033.jpeg


Sidhani kabisa kama Osama alikuwa na hizi nyenzo za matunzo.

IMG_7034.jpeg

IMG_7035.jpeg


Tatu, sidhani kama Osama aliwahi kupata hata compliment moja kuhusu ndevu zake ๐Ÿคฃ.

Yours truly hapa napata compliments kila kona, ikiwemo hapa JF kupitia PM ๐Ÿ˜‰.

Put some respect on my beard ๐Ÿ˜€.
 
Weee ๐Ÿคฃ.

Moja, ushawahi kuona simba dume asiye na Ndevu?

Mbili, zile za Osama hazikuwa na matunzo.

Yaani kabisa hizi zangu unazilinganisha na za Osama? Hebu cheki hiyo line-upโ€ฆ.

View attachment 3100014

Sidhani kabisa kama Osama alikuwa na hizi nyenzo za matunzo.

View attachment 3100015
View attachment 3100016

Tatu, sidhani kama Osama aliwahi kupata hata compliment moja kuhusu ndevu zake ๐Ÿคฃ.

Yours truly hapa napata compliments kila kona, ikiwemo hapa JF kupitia PM ๐Ÿ˜‰.

Put some respect on my beard ๐Ÿ˜€.

Mkuu nimesha andika hapa kwamba suala zima la bajeti ya matunzo ya ndevu zako imechangamka, watu wanafikiri masihara, bora umeweka ushahidi.
 
Mh! Sawa mjukuu. Si unaona vile kidevu kimechafuka na mvi, kuna uheshimiwa hapo?

View attachment 3100051

Uwe na asubuhi njema, yenye baraka na mafanikio.

Acha nikapate upepo wa ufukweni asubuhi asubuhi mwili uchangamke.
Ni waheshimiwa tu ndo wanaweza kupata huo upepo wa ufukweni tena asbh asbh, una rangi nzuri sana na ndevu saaasa, dume la mbegu
 
Ni waheshimiwa tu ndo wanaweza kupata huo upepo wa ufukweni tena asbh asbh, una rangi nzuri sana na ndevu saaasa, dume la mbegu

Sasa ufukweni si Kwa wavuvi wa Samaki? Nchi yetu Bado hawazuii kutembelea fukwe za bahari Kwa raia wake.

Weeeeee thubutu, rangi nzuri? Hizi simu hata kama za bei rahisi ila kwenye manjonjo ya kuongezea nakshi nakshi kwenye picha wamejitahidi. Picha imepigwa kiwi na polishi hiyo.

Screenshot_2024-09-19-07-15-26-42_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg


Screenshot_2024-09-19-07-08-32-07_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg


Napenda tu kutazama maji au kijani Cha msitu wa asili, vichaka na hali ya hewa nzuri asubuhi au jioni.
 
Sasa ufukweni si Kwa wavuvi wa Samaki? Nchi yetu Bado hawazuii kutembelea fukwe za bahari Kwa raia wake.

Weeeeee thubutu, rangi nzuri? Hizi simu hata kama za bei rahisi ila kwenye manjonjo ya kuongezea nakshi nakshi kwenye picha wamejitahidi. Picha imepigwa kiwi na polishi hiyo.

View attachment 3100079

View attachment 3100080

Napenda tu kutazama maji au kijani Cha msitu wa asili, vichaka na hali ya hewa nzuri asubuhi au jioni.
Hiyo kupenda kutazama maji na misitu ndipo uheshimiwa wenyewe ulipo hapo, una rangi kali sana sio cha simu wala nini
 
Weee ๐Ÿคฃ.

Moja, ushawahi kuona simba dume asiye na Ndevu?

Mbili, zile za Osama hazikuwa na matunzo.

Yaani kabisa hizi zangu unazilinganisha na za Osama? Hebu cheki hiyo line-upโ€ฆ.

View attachment 3100014

Sidhani kabisa kama Osama alikuwa na hizi nyenzo za matunzo.

View attachment 3100015
View attachment 3100016

Tatu, sidhani kama Osama aliwahi kupata hata compliment moja kuhusu ndevu zake ๐Ÿคฃ.

Yours truly hapa napata compliments kila kona, ikiwemo hapa JF kupitia PM ๐Ÿ˜‰.

Put some respect on my beard ๐Ÿ˜€.
Wewe huyo naye unamjibu ili iweje hakustahili kujibiwa ungekausha
 
Back
Top Bottom