πππ Sahv nishakuwa mshangazi.Umemtaja Madame B nimecheka sanaa!!
Huyo Madame ana balaa sana.!!πππ
Dah!!Nampata vizuri kuna mzigo aliniambia ataniuzia mpk leo kimya πππ
Naona babe wangu anapewa za uso huku.Huyo tunajuana miaka. Wewe umemjua sijui juzi. Utulie kama unanyolewa zivu sawa. Halafu acha kumsumbua babe wangu, ana mambo mengi ya kufanya na kunipenda. Acha kumvuruga muone
Weee π€£.Baba mtu ana ndevu km Ossama ππ
Tafadhali sana...ππππ
Shukrani sana Mumie..!!
Weee π€£.
Moja, ushawahi kuona simba dume asiye na Ndevu?
Mbili, zile za Osama hazikuwa na matunzo.
Yaani kabisa hizi zangu unazilinganisha na za Osama? Hebu cheki hiyo line-upβ¦.
View attachment 3100014
Sidhani kabisa kama Osama alikuwa na hizi nyenzo za matunzo.
View attachment 3100015
View attachment 3100016
Tatu, sidhani kama Osama aliwahi kupata hata compliment moja kuhusu ndevu zake π€£.
Yours truly hapa napata compliments kila kona, ikiwemo hapa JF kupitia PM π.
Put some respect on my beard π.
We ni mzee muheshimiwa sanaπ π π
Ni waheshimiwa tu ndo wanaweza kupata huo upepo wa ufukweni tena asbh asbh, una rangi nzuri sana na ndevu saaasa, dume la mbeguMh! Sawa mjukuu. Si unaona vile kidevu kimechafuka na mvi, kuna uheshimiwa hapo?
View attachment 3100051
Uwe na asubuhi njema, yenye baraka na mafanikio.
Acha nikapate upepo wa ufukweni asubuhi asubuhi mwili uchangamke.
Ni waheshimiwa tu ndo wanaweza kupata huo upepo wa ufukweni tena asbh asbh, una rangi nzuri sana na ndevu saaasa, dume la mbegu
Hiyo kupenda kutazama maji na misitu ndipo uheshimiwa wenyewe ulipo hapo, una rangi kali sana sio cha simu wala niniSasa ufukweni si Kwa wavuvi wa Samaki? Nchi yetu Bado hawazuii kutembelea fukwe za bahari Kwa raia wake.
Weeeeee thubutu, rangi nzuri? Hizi simu hata kama za bei rahisi ila kwenye manjonjo ya kuongezea nakshi nakshi kwenye picha wamejitahidi. Picha imepigwa kiwi na polishi hiyo.
View attachment 3100079
View attachment 3100080
Napenda tu kutazama maji au kijani Cha msitu wa asili, vichaka na hali ya hewa nzuri asubuhi au jioni.
AhsanteHiyo kupenda kutazama maji na misitu ndipo uheshimiwa wenyewe ulipo hapo, una rangi kali sana sio cha simu wala nini
βΉοΈTreeeenaaah odo kapenda had kapenda tena.!
Hii kapo yenu ya pili kuipenda humu, nikitoa kapo yangu pendwa ya Carleen na baba mtumishi wake.! ππ
Wewe huyo naye unamjibu ili iweje hakustahili kujibiwa ungekaushaWeee π€£.
Moja, ushawahi kuona simba dume asiye na Ndevu?
Mbili, zile za Osama hazikuwa na matunzo.
Yaani kabisa hizi zangu unazilinganisha na za Osama? Hebu cheki hiyo line-upβ¦.
View attachment 3100014
Sidhani kabisa kama Osama alikuwa na hizi nyenzo za matunzo.
View attachment 3100015
View attachment 3100016
Tatu, sidhani kama Osama aliwahi kupata hata compliment moja kuhusu ndevu zake π€£.
Yours truly hapa napata compliments kila kona, ikiwemo hapa JF kupitia PM π.
Put some respect on my beard π.
Ulikuwa wapi babe wakati mdo huo wananisema kwa kunichangiaNaona babe wangu anapewa za uso huku.
We Genius Man, tandika kitanda ulale ebo!!
Hii ilikuwa kabla ya sisi kuunda couple hebu fuatilia mtiririko wa post me nakupenda wewe tu babeNami namuacha hapa hapa pia....hutosheki.
Nakupa talaka 3.
Usiku mwema.
Hawana adabu haoHapana, hao ni wadogo zangu dam dam na ni vipenzi vyangu, usithubutu!!!!
Basi wanatamani tuachane lakini wapi
Usimsuke km anaumia Kuna styles nying za kubana watoto nywele Tena hizo ndefu ndio nzuriNdiyo. Ila mbishi huyo π.
Nahisi kichwa huwa kinamuuma.