Acha kujaza videos tupia maforooooo banaaaa
ππumepoteaWapi picha wee!
Samalekoooo! Weee na mtuo mmepotea kinoumaaa humuu!Ooh! Great, unitafutie na mimi maana umri umeenda na sijawahi kukwea angani
Nimebemenda mtoto basi tafrani tupuuuuu ! Ka mwaka mmoja kanaumwaaa balaaaa niko bize na lishe kasidhoofikeπ€°π€°ππumepotea
Pole saa kwa kuuguzaπ₯²Nimebemenda mtoto basi tafrani tupuuuuu ! Ka mwaka mmoja kanaumwaaa balaaaa niko bize lishe kasidhoofikeπ€°π€°
Yani saivi ni hekaheka tu best! I hope nyote mko pouwaaa hapa mtakuja village center!Pole saa kwa kuuguzaπ₯²
Hi ccy
Siku hizi nimekua mgeni kabisa hapa
Miss you sana Brian za miaka!! Kitambo sanaaa umepoteaSiku hizi nimekua mgeni kabisa hapa
Hi dear. Do the needful nirare vizuriii sis !Hi ccy
Sawq ccy dk mbili nakuja kukublessHi dear. Do the needful nirare vizuriii sis !
Wabheja sana sis lemme wait ππSawq ccy dk mbili nakuja kukubless
Nougaaa sanaa sisππππππ!
Asante ccy nibless na mim πππNougaaa sanaa sisππππππ!
Unazidi kuwakaaa tu
Umekua wamotrooooo balaaaaa!
Kweli kuzaa kuzuri nyieeee π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Santo sana
Mwehh sikuhizi nna jipya sasa!πAsante ccy nibless na mim πππ
Sawa ccy niko hapa nakungojaMwehh sikuhizi nna jipya sasa!π
Ngoja nikuchekie ivoivooooo sis usipepese hata kopeee napita kama nilivooooooooooo
Nashukuru kwa welcoming yenye nyota tano.Miss you sana Brian za miaka!! Kitambo sanaaa umepotea
Karibu tena selfikaaaa!
Fanya kama unatupia π€³kwanzaaa sio kwa kukumiss hukuuu