Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
We nawe una hekaheka mnoπMshambaa kaweka picha, na nimepitwaa, Lol
πππππ
Dadaπ₯π₯π₯
selfika dadaπAfadhali niko peke yangu, niselfike sasa... πππππ
Mama junia β€οΈChurch ladyβ£οΈ
Tumeiombea nchi yetu Tanzania
Bwana na atoe majibu ya damu zilizomwagika
Bwana aachilie amani
Bwana aachilie majeshi yake ya ulinzi ambayo ni imara kuliko majeshi yote hapa Duniani.
Bwana aachilie roho ya hekima kwa viongozi na awaondolee ubabe
Kumbe mpo eeh jamani. Ningeumbuka mbona na nilijua niko peke yangu π π π π πselfika dadaπ
Wewe selfika hata kisigino mm tayarKumbe mpo eeh jamani. Ningeumbuka mbona na nilijua niko peke yangu π π π π π
Afadhali leo nikuone aiseeAfadhali niko peke yangu, niselfike sasa... πππππ
Auntie πππΏMama junia β€οΈ
JamaniAaliyyah Saint Anne ila msiquote haitafutika π€£π€£π€£π€£π€£ chap nafuta View attachment 3103761