Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliweka ukawa umesinzia, Saint Anne akatoka kidogo, huwezi amini nimeweka two times. Utaniambia muda utakaokuwa free nitaweka tena ila mida ya wanga ๐ ๐ ๐ ๐Bantu Lady irudiwe sijaona
Siku quote kipenz
Nitakuwepo Ile mida yetu na mm nitapita naked hapa ๐Niliweka ukawa umesinzia, Saint Anne akatoka kidogo, huwezi amini nimeweka two times. Utaniambia muda utakaokuwa free nitaweka tena ila mida ya wanga ๐ ๐ ๐ ๐
Mkuu usiwe unalitaja jina la mungu bure kwenye captions kama hizi unakoseaMungu akiwa upande wako nani aliye juu yako??????????
Have a blessed weekdays wapendwa!
๐๐๐Nimeona Simba dumeWeee ๐คฃ.
Moja, ushawahi kuona simba dume asiye na Ndevu?
Mbili, zile za Osama hazikuwa na matunzo.
Yaani kabisa hizi zangu unazilinganisha na za Osama? Hebu cheki hiyo line-upโฆ.
View attachment 3100014
Sidhani kabisa kama Osama alikuwa na hizi nyenzo za matunzo.
View attachment 3100015
View attachment 3100016
Tatu, sidhani kama Osama aliwahi kupata hata compliment moja kuhusu ndevu zake ๐คฃ.
Yours truly hapa napata compliments kila kona, ikiwemo hapa JF kupitia PM ๐.
Put some respect on my beard ๐.
Jamani ๐๐๐Mh! Sawa mjukuu. Si unaona vile kidevu kimechafuka na mvi, kuna uheshimiwa hapo?
View attachment 3100051
Uwe na asubuhi njema, yenye baraka na mafanikio.
Acha nikapate upepo wa ufukweni asubuhi asubuhi mwili uchangamke.
Unateseka ukiwa wapi? ๐นWewe huyo naye unamjibu ili iweje hakustahili kujibiwa ungekausha
Nawe mdau wa safari? ๐๐Friday ๐
๐๐๐ Nkamu bday yako lini ule cake kwa niaba yangu?!Mje mniungishe keki
Hivi wanyaki kwann wanapenda hii biz? ๐นNjoo niungishe nipunguze kuhesabu magari๐๐๐๐๐
Wee ngadu selfika nione km umekua mkubwa ๐นSt. Anne na guu lake nilipendalo.
Hebu tuone km kweli ๐Mimi pia napenda ,now nimetunza hata mdomo hauonekani๐ ๐ ๐
Au basi ๐นsina
pako peupe kma Kota la mzungu