Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣 Huyo unamwambia dawa zake za sukari ziwe zinakaa kwako na kwa bi mkubwa ili akianza kupumua kwa shida anatulizwa na njugu zake..!!Sitaki kuwa murderer 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Huyo unamwambia dawa zake za sukari ziwe zinakaa kwako na kwa bi mkubwa ili akianza kupumua kwa shida anatulizwa na njugu zake..!!Sitaki kuwa murderer 😂😂
Bado sijafikia kuteseka namna hiyo 😸😸🤣🤣🤣 Huyo unamwambia dawa zake za sukari ziwe zinakaa kwako na kwa bi mkubwa ili akianza kupumua kwa shida anatulizwa na njugu zake..!!
😂😂😂 Usimfanyie hivyo Monk banaBado sijafikia kuteseka namna hiyo 😸😸
Yule wa ndinga umempotezea? Unanilanguza km mitumba ya manzese😂😂😂 Usimfanyie hivyo Monk bana
Halafu mi nishampitisha shem wangu ujue😜
Weeh!! Wa ndinga naanzaje kumpotezea?? 😂😂Yule wa ndinga umempotezea? Unanilanguza km mitumba ya manzese
HHahaha we mbaya huna huruma kabisaWeeh!! Wa ndinga naanzaje kumpotezea?? 😂😂
Tena umenikumbusha nikamuulize kafikia wapi shem na ndinga zetu.!!
Mie tena ninavyopenda ndinga awwwhh Monk apumzike tutamrudia akipata kiinua mgongo chake kwanza 🤣🤣🤣
Acha kufananisha ndinga za mjerumani na vitu vya kijinga 🤣🤣🤣HHahaha we mbaya huna huruma kabisa
Babe sikutaka kukusumbua, najua ulilala. Leo nitakushtua nyonga mkalia ini wangu. Nimekumiss sana 🥰🥰🥰🥰Babe ndio nini michezo ya kuvizia hatupo online 😄
Shem uwe unatuita basi tuone 😜Mimi zaidi babe, unakuwa adimu sana humu.
Uwe na jioni njema Babe.
Hehe Shem tajiri umeamua kutuzingua.Shem uwe unatuita basi tuone 😜
Bantu Lady unaitwa odo shem kashafanya yake huku, matajiri mnatusumbua kumbe mpk uzuri mmechaguana?!! 😹😹
Handsome wa nguvu kabisa, usijikatae una tabasamu zuri kinomaUnafikiri bado Kuna u hb umesalia? Usiome uzee ukufike.
Ila mapigo ya moyo yameenda mbio sana. Lamomy ana utovu wa ubinadamu.
Ila acha nijikakamue nitafute ndinga dharau zipungue. Niimalizie uzee Kwa heshima
View attachment 3104583
weka pichaHandsome wa nguvu kabisa, usijikatae una tabasamu zuri kinoma
Lamomy mpambe nuksi huyo usimzingatie sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani hatariiii tupuu. LolWe nawe una hekaheka mno[emoji23]
Sis hilo Gauni ni zuriii,Church lady[emoji3589]
Tumeiombea nchi yetu Tanzania
Bwana na atoe majibu ya damu zilizomwagika
Bwana aachilie amani
Bwana aachilie majeshi yake ya ulinzi ambayo ni imara kuliko majeshi yote hapa Duniani.
Bwana aachilie roho ya hekima kwa viongozi na awaondolee ubabe
Shallom Tanzania
Hapana shem naikubali kinouma kapu yenu na odo bl 😹Hehe Shem tajiri umeamua kutuzingua.