Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuogopa wanaweza kula kichwa cha komwe mana mahi punch unazorushaga lazima wakae chonjo π€£π€£π π π katika vitu havinipagi stress ni nyakunyaku sijui najiamini au nina dharau zilizozidi
Unamfahamu kwa jina linaanzia na S ,Mr A tenaah.!! π€£π€£
Huyo anaonyesha hata yy km zimesoma namba A πΉ
Sitaki case na wazee wa watu, nishazoea wana wa Israel watu wa mataifa, wabishi na jeuri km Farao πππ
Jeshi la mtu mumojaWanakuogopa wanaweza kula kichwa cha komwe mana mahi punch unazorushaga lazima wakae chonjo π€£π€£
π π π π utaisave Odo sitaki miye π€£π€£π€£π€£ nitaweka ukilala.Irudiwe mi sijaona odo π
Shem lake hilo kiuti kimekaa mahala pake awwhh Kapeace shosti umejipata π€£π€£π€£
Shem wewe mimi nizoee ndo nilivyo hata usinitilie maanani, nna stress za pesa πΉπΉ
Wewe kikubwa unahema gari tutakodi hata bajaji π
S tenahh.!!Unamfahamu kwa jina linaanzia na S ,
Kwahiyo umegoma kuselfika nimpatie picha yako ya sasa?π€£
Ewaaahhh ππJeshi la mtu mumoja
Sisave simu yangu imejaa sample za vijora tupu no space πππ π π π utaisave Odo sitaki miye π€£π€£π€£π€£ nitaweka ukilala.
S namfahamu kwa jina la A,S tenahh.!!
Weeh nawe unaanza kunitajia watu siwajui Huyo S wa wapi??!!
Usije kunipa mume wa shangazi ukanitafutia balaa mwenzio sitaki hekaheka na waja ss hivi.!! πππ
Mara A mara S halafu sina mpz mwenye hizo herufi, babe wangu anaanzia na N ππππ
Sijapitwa Leo
Kapeace shem kaweka ndinga, sasa hapa uhakika wa maisha tunao shogire Mungu atupe nini sie πππMh!
Gari ya kukodi imeshapatikana, Sasa sijui kitu Gani kingine kitafuatia
View attachment 3104686
View attachment 3104687
Ngoja nimalizie kikao Cha wastaafu kwanza
View attachment 3104712
Umenifuma vibaya leo uwii. Upo hujatoka π π π πJf ina watu leo na mimi nimekufuma Bantu Lady
Safi, wengine mfuate pia...!
Sinaga baya lakini, fahari ya macho asante kwa kutublessUmenifuma vibaya leo uwii. Upo hujatoka π π π π
πππ odo hizo pisto Mashallah
Nakujua kipenzi huna baya kabisa π₯°π₯°π₯° natamani nawewe utupie nikuone mrembo wangu.Sinaga baya lakini, fahari ya macho asante kwa kutubless
Yupo mzigoni unamuharibia utulivu mahi wangu,Kapeace shem kaweka ndinga, sasa hapa uhakika wa maisha tunao shogire Mungu atupe nini sie πππ
Shem hiyo dualis π