Selfika na JF: Snap it. Show it

Sidhani km umekauka namna hiyo, macho hayajawahi kutosheka, unakutana na mtu km BL ukikutana na mange tena unageuka, mi naona na mavazi ukijijulia unapendeza ndo maana mademu wote wana mabwana
Mahi hayo tuache πŸ˜₯
Mi hata Mange ana nafuu ni hatari tupu 😹😹😹
 
ahahah wanakuwaga watamu yaan ushwai kunywa supu ya kwaza kabisa ile inakuwa nzito na mafuta mengi utamu wake unaujua?
Hiyo Age huku haiko na adabu kabisa ni vi-too much jangiri ,hamna kitu mtafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…