Hapana mbona MTU akifuta original post quoted post hazioneshi, au Kwa vile Mimi nipo kjjn na tekno yanguMtusaidie picha zifutike. Kila aliyetuquote afute comment tunaomba. Mimi nitawarahisishia kuwatag. Mfute picha zisibaki🥺 Tukubaliane, wengine tukiweka picha mtu asiquote ile ya picha, iwe rahisi kufutika ni ombi 🥰
Wengine bado leo nimekuwa mpole km kuku mdondoNimeedit reply yangu nimefuta pic yako mahi usijali 😍😍
Kesho uselfike mapema sasa shem aone thawaah 😹
Mpaka ufeeemshangazi MPANA kwelikweli😋
Inaonyesha badoHapana mbona MTU akifuta original post quoted post hazioneshi, au Kwa vile Mimi nipo kjjn na tekno yangu
Ulivyo kisu hata ikibaki haina shido 😂Wengine bado leo nimekuwa mpole km kuku mdondo
Sitaki ifutweee tuuuUlivyo kisu hata ikibaki haina shido 😂
Mtoto Mashallah chuma cha mjerumani hakishiki kutu awwwwhh shosti wa moto 😍😍
Ukifuta kwenye original post, hata huku alipo quote picha haibaki...Mtusaidie picha zifutike. Kila aliyetuquote afute comment tunaomba. Mimi nitawarahisishia kuwatag. Mfute picha zisibaki🥺 Tukubaliane, wengine tukiweka picha mtu asiquote ile ya picha, iwe rahisi kufutika ni ombi 🥰
🤐🤐🤐🤐🤐🤐I'm being polite...
I could've roasted your lightskin ass if i wanted to.
Mashallah 😍 😍 😎😎😎 naitwa vin kutoka kigambonino umependeza sana yaani sanaMlale sasa
Basi umeshindaTatizo kaka simbilisi tone yako ya uandishi haibadiliki japo id nyingine…. Nikiwa shangazi wa Buza inaathiri mkundugu wako?? 😹
otot bhna🤐🤐🤐🤐🤐🤐
Next time ichukue kama attachment ukifuta og inafutika sehemu nyingine zoteMi najua sasa kaka!!! Nimeona full image huyo nikatuma 🤣🤣🤣
Nshafuta mkuu.Inabaki wewe na sumbai mnatakiwa muedit comment yangu mdelete km alivyofanya lamomy
Oyaa vin umewaona hawa spider majirani zako kigamboni 😂😂😂Mashallah 😍 😍 😎😎😎 naitwa vin kutoka kigambonino umependeza sana yaani sana
Sawasawa nitazingatia km nikiwa sijasahau maana niko msahaulifu kweliNext time ichukue kama attachment ukifuta og inafutika sehemu nyingine zote
Soup ya kwanza ? Inakuaje kijana?ahahah wanakuwaga watamu yaan ushwai kunywa supu ya kwaza kabisa ile inakuwa nzito na mafuta mengi utamu wake unaujua?
🤣🤣🤣Mashallah 😍 😍 😎😎😎 naitwa vin kutoka kigambonino umependeza sana yaani sana
ahaha ukija iringa nitakuonyesha iyo supuSoup ya kwanza ? Inakuaje kijana?
kwahiyo nisikutafutie Age kubwa nikuache na hivyo vibinti kijana?
Anayeeleweka maana sitaki mdogo wangu upate tabu na magonjwa ya moyo.nI lete kat
otot bhna