Yaani rudia kidogo nipunxishe fuvu dadaWe hata mbinguni utapitwaaa
πππ huyo km nyuki wa shuhuli hapumzikiHadi Chocho za kuripoti picha kanazijuaππππ
Kachungulie kwa sumbai km hajaedit, jinsi walivyonihenyesha aah kutuma tena sio leoYaani rudia kidogo nipunxishe fuvu dada
AnhaaMy luv@Saint Anne nisaidie kuedit, picha ifutike π₯°
Igweeeeeee ππLeo hata usingizi utakuwa mzuri
Tumeona picha Kali tumesafisha mambo
Hawa ndio namba Moja sasa wa Uzi
π₯π₯
Kuna terminology unatumia kijana πkabisa
ππππ Nkamu nitaamsha watu kwa kucheka wajue nimechanganyikiwa.!!Shangazi hajare Wala nini
Kikubwa afutefute tu camera vizuri mchuano uendelee
Najua vitu vingi tu mkitaka mseme nawasaidia hapa hapa kulinda privacy muhimu sana π ππππ huyo km nyuki wa shuhuli hapumziki
Sumbai unafeli au upo unasinzia, Vincenzo Jr mbona nimereport tangu muda ule bado tuπ’π’Kapachino huyu ndio BL au??
Wee kisu wifi yangu tupia tuone vitu..Mmelala natak nipite π
Niwawakilishe wa nipigie tafu@lamomy vimbaumbau wanaitwaje vile ππ
Unaripoti picture ili ifutwe maana ukiacha itaonekana kwa Kila mtuHadi Chocho za kuripoti picha kanazijuaππππ
Sijui atakujajeππππ Nkamu nitaamsha watu kwa kucheka wajue nimechanganyikiwa.!!
Nasubiri comeback ya shangazi mailo lazima kiwake π€£
Ntakutunzia mahi usijareee ππMi zangu mniwekee pm huu uzi sio mkaaji, au ulidhani nitakuacha hivi hiviπ€£π€£
π€£πππππ€£ππππππ Ukiacha itabakia ili ifutike Fanya hivyoWewe tena kizee cha kuripoti πΉπΉπΉ
Unazijua mbinu zote za kuripoti mpk pic
Weeh kambea ulinde privacy za nani ikiwa zako umeshindwa kuzilinda πΉNajua vitu vingi tu mkitaka mseme nawasaidia hapa hapa kulinda privacy muhimu sana π π
Hao waache yani wametujaza na BL na sie tukajazikaπ€£π€£wangekuwa wanaume wasingekuwa wanakataliwa vinajua kushawishiUnaripoti picture ili ifutwe maana ukiacha itaonekana kwa Kila mtu