Paka hizo Ndevu super blanka π€£π€£π€£
Yan umenitamanisha Leo Nina mood ya mchemsho wa nyama na ndizi πLeo tunapika nini?? Andaa bas juice
Kaa hapo hapoRudia unibles nisafishepo macho jamaniiii
Here standby ππππKaa hapo hapo
Ila nyie wambeaaaa...πππBora
Atupumzishe na za ukuta aisee
Sijui anakuja na Msuko gani Madam wetu jamani
Bantu Lady namkumbuka sana mrembo wa JF mtani wangu ni mrembo haswaaa..Njoo pm nikupe ya bantu ladyπ€£π€£π€£
Bantu Lady usije ukalia dada hata Sina natania tu πππ
Mimi kwakweli nasubiri uweke nimfowardie apate darasaaaaaaa.Yan umenitamanisha Leo Nina mood ya mchemsho wa nyama na ndizi π
Hapa nishapita Kwa mzee ananiuziaga ndiz kasema ndio anaenda kuzifata shamba
Stay tune
ππππ€£π€£π€£π€£π€£sijawahi cheka hivi huku JF...duuh hapana bana ka familia yani kadogo ketu...ila ningezaa mapema nilipomaliza tuu drs la 7 hivi mfano..basi ningekua nae kama ephen_Kwamba tu mekazaa ka ephen ππππππ€π
Mkwe wako haonekani kaka mkubwaπππ
Haya haina shida basi tukachukue tuu moja kwa moja sasa...majukumu huko PM uyatekeleze vyema...πππππ π πTukaite tu katoto ketu wala usijali wakwetuπ€
Hahaha thithi wana thimba au unaongelea wengineπ€Juzi mlikua mnapumulia mashinee πππ!
Walai mngetolewa ingekua aibuuuuu!
Kazeni kaliozz kwenye makundi msifumuliwe sasaππ€
π€£π€£π€£Paka hizo Ndevu super blanka π€£π€£π€£
Mhm wakwetu , hizi mbege za siku hizi sijui wanaweka nini π€Haya haina shida basi tukachukue tuu moja kwa moja sasa...majukumu huko PM uyatekeleze vyema...πππππ π π