Zinawekwa konyagiMhm wakwetu , hizi mbege za siku hizi sijui wanaweka nini 🤔 View attachment 3105188
Hahhaha siku nikienda moshi napika mwenyeweZinawekwa konyagi
Kuwa makini saana
Hii ni mbege kweli?? Mbege ya ndizi au itakua ya miwa?? 😃😃😃😃😃😃 au wamejaza gongo mpk ika undergo chemical reaction mpya kabisa...unajua mm nikiendaga kule ukweni huwa sinywi kabisa...labda wanipe iliyotoka mbali napo nakunywa kikombe kidogo cha chai... ila hii siwezi gusa..Mhm wakwetu , hizi mbege za siku hizi sijui wanaweka nini 🤔 View attachment 3105188
🤣🤣🤣🤣🤣Hahhaha siku nikienda moshi napika mwenyewe
Vitoto vya alfu mbili havijui maana ya kua mchaga😄😄😄Hii ni mbege kweli?? Mbege ya ndizi au itakua ya miwa?? 😃😃😃😃😃😃 au wamejaza gongo mpk ika undergo chemical reaction mpya kabisa...unajua mm nikiendaga kule ukweni huwa sinywi kabisa...labda wanipe iliyotoka mbali napo nakunywa kikombe kidogo cha chai... ila hii siwezi gusa..
Mm nimeshaloweaaa huwezi nitenganisha nao...😃😃😃Vitoto vya alfu mbili havijui maana ya kua mchaga😄😄😄
Mtume sharubati sasa ya mgonjwa, jana lamomy na shoga ake Saint walinikomalia vibaya nikajikuta naelekea kibra km mbuzi wa kafaraJana palichangamka sana hapa. Mie sio kivuruge ila naomba tu nitoe pwenti na shukrani za dhati Kwa hizi Salam za asubuhi kutoka kwako.
Unaumwa na Sina taarifa? Pole sana.
Ule usiku tu kidogo kishuga kinipande ndo ijekuwa huu mchana aaah we thubutuuuSindikizia na kapicha🔥
Wakubwa wakubwa wa enzi hizo si ndo hao wazee wa saiv japo wanaulazimisha huo uzee wenyewe
Acha woga mrembo tubles ya kumalizia asubuhi banaa!Ule usiku tu kidogo kishuga kinipande ndo ijekuwa huu mchana aaah we thubutuuu
Hiyo moja ndo ilitoka vizuri nyingine ni mpaka nifanye mazoezi tena humu sio pa kutupia zile mbaya mbaya😅😅Acha woga mrembo tubles ya kumalizia asubuhi banaa!
Mi nataka sotojo la nyama ya kusaga halafu nitakubless kafotoYan umenitamanisha Leo Nina mood ya mchemsho wa nyama na ndizi 😀
Hapa nishapita Kwa mzee ananiuziaga ndiz kasema ndio anaenda kuzifata shamba
Stay tune