Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Nimeshangaa naona blank page,Yani shwaaa kama upepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa naona blank page,Yani shwaaa kama upepo
Nataka nilijue somo ili niwanyanyase napost dk 1 nafuta 🤣🤣🤣Wewe Kwa jinsi ulivyo ukijiangalia mule mule tuu Kama BL
Ni hii nilikuwa namuonyesha Chino nimenyoa. Sasa hivi najua kufuta weeHongera bantu ila mi sijaelewa au ni hili joto! Nikitulia nitakuja unipe maelekezo naona ushakuwa mtaalam ila ndo watu watapitwa 😂😂 kama hiyo mi sijaiona
Haya futa tenaNi hii nilikuwa namuonyesha Chino nimenyoa. Sasa hivi najua kufuta wee View attachment 3105437
Bado wewe tu inabidi akupe somo tuNimeshangaa naona blank page,
Duh safi sana sasa jana niliwalaza saa nane kisa kufuta picha🤣🤣kumbe mambo iizeeeNi hii nilikuwa namuonyesha Chino nimenyoa. Sasa hivi najua kufuta wee
Atanipa huyo hana baya jana kanisaidia kubembeleza wadau mpaka saa nane,Bado wewe tu inabidi akupe somo tu
Hahahaha wadada wazuri pisi Kali corporate hamtakiwi kuna na hizi mamboNataka nilijue somo ili niwanyanyase napost dk 1 nafuta 🤣🤣🤣
Oyaa mwambie arudieGeuka mbantu ili jioni iishe vizuri.
Asevu apeleke wapi naye
Ni rahisi sana. Alishanifundisha, sema nikasahau mambo mengi tena.Duh safi sana sasa jana niliwalaza saa nane kisa kufuta picha🤣🤣kumbe mambo iizeee
Tena wewe ndo ulifanya tulale saa naneHahahaha wadada wazuri pisi Kali corporate hamtakiwi kuna na hizi mambo
Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka badoNi rahisi sana. Alishanifundisha, sema nikasahau mambo mengi tena.
1. Unatuma picha kama kawaida. Full image. Unaipost
2. Kuifuta unaenda edit, remove or delete. Halafu umasave.
Finito Madonna 😅😅😅😆
Nasikia umekuja dar alafu unataka kurudi dom bila kunijulisha babeBee kijana wangu....❤️❤️❤️
🤣🤣🤣🤣Tena wewe ndo ulifanya tulale saa nane