Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha!

Ni vizuri kutukumbusha mnywanii kuna wazee wengine wadeadly eti!

Kati ya watu waso waoga ni Mimi mnywani!
Pale kibeta
Kuna hotel nilichukuaga
Kuna kadingi kaliingia na mzigo nikajisemea huyu mzee ataweza hizi pukurushani za ili zigo.

Baada ya dk kazaa
Korido Zima lilikuwa linalindima kwa yowee

Sema siku iyo ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kula chabo
 
Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado
Nami huchagua full image. Haina shida. Kwenye kufuta huwa tunaanzia hapa delete. Tuache hiyo njia. Tuanze na Edit, delete, save. Hebu jaribu hapo mtoto mzuri. Tuone uumbaji wa Muumba. Maana alikaa akakutengeneza ukatengenezeka 🥰🥰🥰🥰🥰
 
Nitafanya hivi ila Msubiri mida ya wanga saiv siwezi kujaribu sumu haionjwi mpenzi
 
Kapeace just like you hachokeki kuangalika afu kajaliwa Babyface za kinyaru.

Muambie aache uwaga pic yake ndo tunataka iwe dp ya selfika
 
Ndio inakuaje kuaje hapo?? Naomba elimu kuna muda nataka kuangalia vitu kupitia App ila nakwama
Nenda Playstore download Tapatalk afu join kwa email yako unayotumia jf utatumia kama app jf ipo Tapatalk kama host na Kuna forums zingine mbalimbali za duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…