Huku kutaniponza, mimi ni mdhaifu sana..nilipoondoka hapa hata pm yangu ilipumzika😀😀😀Hahaha samahani mkuu
Ila sio mbaya kuona pisi Kali warembo wadunia.
Achana na Uzi za maandamano,
Sisi tunaandamania huku
Pale kibetaHahaha!
Ni vizuri kutukumbusha mnywanii kuna wazee wengine wadeadly eti!
Kati ya watu waso waoga ni Mimi mnywani!
[emoji16][emoji1787]Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado
Nami huchagua full image. Haina shida. Kwenye kufuta huwa tunaanzia hapa delete. Tuache hiyo njia. Tuanze na Edit, delete, save. Hebu jaribu hapo mtoto mzuri. Tuone uumbaji wa Muumba. Maana alikaa akakutengeneza ukatengenezeka 🥰🥰🥰🥰🥰Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado
Tumia hii option ni fasta shwaa [emoji16][emoji23]Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado
Ndio babe, nimekujaNasikia umekuja dar alafu unataka kurudi dom bila kunijulisha babe
Nitafanya hivi ila Msubiri mida ya wanga saiv siwezi kujaribu sumu haionjwi mpenziNami huchagua full image. Haina shida. Kwenye kufuta huwa tunaanzia hapa delete. Tuache hiyo njia. Tuanze na Edit, delete, save. Hebu jaribu hapo mtoto mzuri. Tuone uumbaji wa Muumba. Maana alikaa akakutengeneza ukatengenezeka 🥰🥰🥰🥰🥰
Situmii appTumia hii option ni fasta shwaa [emoji16][emoji23]View attachment 3105448
Hii ni TapatalkSitumii app
Naitafuta sana jf App ya Zaman siipati Naomba mwongozo aseeeTumia hii option ni fasta shwaa [emoji16][emoji23]View attachment 3105448
Mbona umekuja kwa sili hivyo babe alafu unataka kukimbia bila kunitqfutaNdio babe, nimekuja
Dar....na ninajiandaa kurudi pia
Ndio inakuaje kuaje hapo?? Naomba elimu kuna muda nataka kuangalia vitu kupitia App ila nakwamaHii ni Tapatalk
Ngoja leo nikutafute babeMbona umekuja kwa sili hivyo babe alafu unataka kukimbia bila kunitqfuta
Kapeace just like you hachokeki kuangalika afu kajaliwa Babyface za kinyaru.Nami huchagua full image. Haina shida. Kwenye kufuta huwa tunaanzia hapa delete. Tuache hiyo njia. Tuanze na Edit, delete, save. Hebu jaribu hapo mtoto mzuri. Tuone uumbaji wa Muumba. Maana alikaa akakutengeneza ukatengenezeka 🥰🥰🥰🥰🥰
Ooh nyenzo zote nazitakaHii ni Tapatalk
Nikutumie number ya WhatsApp babe?Ngoja leo nikutafute babe
Amen. Namba ya wakala haijafanikiwa kunifikia. Barikiwa pia.Barikiwa sana wazee si ndo nyinyi sasa
Nenda Playstore download Tapatalk afu join kwa email yako unayotumia jf utatumia kama app jf ipo Tapatalk kama host na Kuna forums zingine mbalimbali za dunianiNdio inakuaje kuaje hapo?? Naomba elimu kuna muda nataka kuangalia vitu kupitia App ila nakwama
Umeonaee huyu ndio nembo yetu ya mtoto mkali wa Selfika. Na ni kazuri uwiii ngoja atuwekee moja achangamshe Selfika kwanza. Wait ChinoKapeace just like you hachokeki kuangalika afu kajaliwa Babyface za kinyaru.
Muambie aache uwaga pic yake ndo tunataka iwe dp ya selfika