Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Nimeifuta. Yako naiona kwa watu wawili waliokuquote kipenzi changu. Tukireport itafutika.Mbon ya kwako siioni?
Wanayo hawajakupa tu? Mama mchungaji utaweza kusubiri mida ya wanga?πMbon ya kwako siioni?
Sina hamu jana saa 8 tuko macho, tunaomba wafute. Ngoja nireport picha yake ifutwe na mods.Wanayo hawajakupa tu? Mama mchungaji utaweza kusubiri mida ya wanga?π
Acha kumfundisha mwenzio tabia mbaya ya kufuta futaπNimeifuta. Yako naiona kwa watu wawili waliokuquote kipenzi changu. Tukireport itafutika.
Babe yako ile uliiacha? Tunaweka, tunafuta ππππ tunafundishwa na Mwamba Chino. Umeona leo zote zangu zimekupita.Acha kumfundisha mwenzio tabia mbaya ya kufuta futaπ
Msaidie aisee mi sikumquote nilimtag nadhaniSina hamu jana saa 8 tuko macho, tunaomba wafute. Ngoja nireport picha yake ifutwe na mods.
Sawa dearNimeifuta. Yako naiona kwa watu wawili waliokuquote kipenzi changu. Tukireport itafutika.
Wanipe niiione kabla sijaingia jikoniWanayo hawajakupa tu? Mama mchungaji utaweza kusubiri mida ya wanga?π
Nisaidie basi au ndo nafanyajeNimeifuta. Yako naiona kwa watu wawili waliokuquote kipenzi changu. Tukireport itafutika.
Wakupe wakupe, raraa au vinceWanipe niiione kabla sijaingia jikoni
Done, tusubiri tuone kama mods watafuta.Msaidie aisee mi sikumquote nilimtag nadhani
Nenda ukareport kwa waliokuquote, hayo ndiyo yaliyotukuta jana mpk kulala saa naneNisaidie basi au ndo nafanyaje
Nimeshareport kwa waliokuquote. Baada ya muda nitazipitia tena kama zipo.Nisaidie basi au ndo nafanyaje
Niliifuta Babe! Jf is never that safe,watu wanatabia tofauti na huwezi jua intentions zao lakini as long as picha haziumizi naona hakuna shida.Babe yako ile uliiacha? Tunaweka, tunafuta ππππ tunafundishwa na Mwamba Chino. Umeona leo zotw zangu zimekupita.
Ndio hiyo hiyo mkuu ya mbuyuni kisiwani opp na afroilHaha naikumbuka hii Pub wakati naishi Kigamboni.
Hii ya mbuyuni au ile kama unaenda Kibada?
Umri wakeWazazi, madaktari na wenye uzoefu hivi hii ni tetekuwanga kweli????
Havimuwashi ila vinamletea mtoto homa anachemka balaa especially usiku
Vimemtoka kuanzia kichwani usoni kote kuteremka mwisho kwenye kiuno tu chini hakunaDaktare Naomba mwongozo
Hahaha ndio mpaka napitwaIpo π π π π π njoo nikufundishe maujanja mrembo. Mwenzako naselfika nitakavyo zinafutika ππππ
Enjoy mkuu. niliwahi kwenda hapo miaka ya nyuma kabla mpinzani wake hajazinduliwa pale Escrow ndio ikawa kiwanja changu jioni.Ndio hiyo hiyo mkuu ya mbuyuni kisiwani opp na afroil
Nimekuja mawandoni
Wewe huwezi kujua πππAah wapi
Chaka la wasiojulikanaNiliifuta Babe! Jf is never that safe,watu wanatabia tofauti na huwezi jua intentions zao lakini as long as picha haziumizi naona hakuna shida.