Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umri wake
Vina muda gani
Kama wapo na wengine wanavyo?
6 years
Jana asubuhi nivoamka niliona vipele kama viwili hivi ameenda shule amerudi jioni naona vimeongezeka viwili vitatu kuamka asubuhi Alooooooohh vimejaa!

Nimempeleka hospitali wamempa dawa kama lotion hivi ya kupaka na tablets!

Ni watoto wengi wanavo inaonekana vinaambukiza kwani kuna watoto anaocheza nimeambiwa nao walikua navyo!

Huku Ni kama ugonjwa wa msimu especially kwa Watoto
 
Muhas itamtoa roho acha aendekeze ujinga wake
Kuna watu walisubiria muhas hadi wanazeeka na hawakupata
Chuo Cha kata walichokataa Nako wakakosa
Huku wenzao katani tushamaliza.

Huku mtaani Ngoma droo
Hakuna cha ulisoma wapi
Ufanisi wako ndio unaokubeba.
Yaan dogo ana mawazo ya kijima hatariii, namuambia kazini hawaangalii umesoma wapi? Ila ufanisi wako wa ulichosoma ukojee.
Na salary slip haingalii ulikosoma, hebu shtukaa wee Dogo, haelewii haelewiii.
Duuh
 
Nenda Playstore download Tapatalk afu join kwa email yako unayotumia jf utatumia kama app jf ipo Tapatalk kama host na Kuna forums zingine mbalimbali za duniani
Saivi nimetulia ngoja nifanye uvonielekeza sasa!
Huwa napenda kuangalia walonifolo juzikati nimeona kuna mtu kanifolo walau ntakua nimefikisha hata watano walau! Lemme check
 
Back
Top Bottom