Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Acha maneno lete vitu nione hata mm mwenyewe kwa sekunde plz ile uliyowatupia janaMpaka uitwe ufike ulimwengu wote wa jf si utakuwa umeona 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha maneno lete vitu nione hata mm mwenyewe kwa sekunde plz ile uliyowatupia janaMpaka uitwe ufike ulimwengu wote wa jf si utakuwa umeona 😅😅
6 yearsUmri wake
Vina muda gani
Kama wapo na wengine wanavyo?
Yaan dogo ana mawazo ya kijima hatariii, namuambia kazini hawaangalii umesoma wapi? Ila ufanisi wako wa ulichosoma ukojee.Muhas itamtoa roho acha aendekeze ujinga wake
Kuna watu walisubiria muhas hadi wanazeeka na hawakupata
Chuo Cha kata walichokataa Nako wakakosa
Huku wenzao katani tushamaliza.
Huku mtaani Ngoma droo
Hakuna cha ulisoma wapi
Ufanisi wako ndio unaokubeba.
Jamani pole sio kwa mateso hayaNimebandika ubwabwa hapa nachungulia kila sekunde nikuone roho yangu itulie...😃
Aaaiiiiiih!! Nimepitwaa tenaa BL, [emoji22][emoji22][emoji22]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji7][emoji7][emoji7] odo hizo pisto Mashallah
Nyie Mungu anaumba km umeshushwa!!
Awwwwhh shem kajipata jamani had hips don lie zipo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sie tuliodondokea bafuni turudi tukafanyike upya [emoji26]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Toka asubuhi nakupiga jicho utadhani nachochea maharage yasiungue[emoji23]
Yaani wewe ile namba Moja ya wenye shepu unaichukua wewe
Anayebisha aweke picha yake [emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiiNani apinge
VAR ikisema ndiyo?
Halafu tajiri sasa
Ana vocha za jumlajumla[emoji91][emoji91]
Saivi nimetulia ngoja nifanye uvonielekeza sasa!Nenda Playstore download Tapatalk afu join kwa email yako unayotumia jf utatumia kama app jf ipo Tapatalk kama host na Kuna forums zingine mbalimbali za duniani
Mie ndo napitwaaa tyuuh, lol[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] naona aibu. Niringe nini kipenzi na duniani tunapita tu hapa. Mimi kila mtu kwangu sawa. Ahsante mdogo wangu niliacha uone ili niairudie. Now naifuta [emoji3059]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahMlioniquote mfute comment zenu msinipe kisukari saiv
Afu ujue Niko na maandazi yangu ya bakresa na mo cola yangu hapa
Ok 👍Saivi nimetulia ngoja nifanye uvonielekeza sasa!
Huwa napenda kuangalia walonifolo juzikati nimeona kuna mtu kanifolo walau ntakua nimefikisha hata watano walau! Lemme check
Nimeweka thumbnail badala ya full image...Ila uzee mi siuoni au nao unafunikwa na camera?
Yaan mie niko hapaa, had natamanii nikalaleee,Nimebandika ubwabwa hapa nachungulia kila sekunde nikuone roho yangu itulie...[emoji2]
Bamia la nazi na samaki
Wee shangazii, enye ni Bamia na nn?