Bora ulikimbia mkuuEnjoy mkuu. niliwahi kwenda hapo miaka ya nyuma kabla mpinzani wake hajazinduliwa pale Escrow ndio ikawa kiwanja changu jioni.
Nimefuta pia labda mcheki rara ree ndo bado ipoNisaidie basi au ndo nafanyaje
Kabisa, ila usiogope kupost. picha yako sijaonaChaka la wasiojulikana
Subirini mida ya wakubwa, leo km hamjawa walinzi sijui😅😅Kabisa, ila usiogope kupost. picha yako sijaona
Nimesikia wewe na BL Bantu Lady ndio mnakimbiza list humu ndani.Nataka nihakiki na mimi.Subirini mida ya wakubwa, leo km hamjawa walinzi sijui😅😅
nitanza kuweka kambi hapa huwa napitwa mnoo wallahUpande wa Mama, maana ingekuwa Mara labda majanga muda huu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aah wapi sio kweli macho yana tabia ya kupendezwa na kitu kipya, tukitupia km nne tano sita inakuwa kawaidaNimesikia wewe na BL Bantu Lady ndio mnakimbiza list humu ndani.Nataka nihakiki na mimi.
unataka kusema hamjafikisha idadi ya nne, tano na bado mnakimbiza tu.Aah wapi sio kweli macho yana tabia ya kupendezwa na kitu kipya, tukitupia km nne tano sita inakuwa kawaida
Ndo hivyounataka kusema hamjafikisha idadi ya nne, tano na bado mnakimbiza tu.
Chombo ni chombo tu mkuuAah wapi sio kweli macho yana tabia ya kupendezwa na kitu kipya, tukitupia km nne tano sita inakuwa kawaida
iwe mapema mapema mida ya saa nne hivi, sita huko mbali sana😄Ndo hivyo
Love kwako mingi mingi...🥰🥰Done, tusubiri tuone kama mods watafuta.
Sawa... raraa reree kwani bado unayo?Nimefuta pia labda mcheki rara ree ndo bado ipo
Ukifuta hadi kwangu ina futikaSawa... raraa reree kwani bado unayo?
Wacha nisubirie kina dogo janja sijui wamepotelea wapi leoiwe mapema mapema mida ya saa nne hivi, sita huko mbali sana😄
Na nilishafuta nashangaa wengine wanasema walikua wanaiona...Ukifuta hadi kwangu ina futika
Mpaka uitwe ufike ulimwengu wote wa jf si utakuwa umeona 😅😅Bantu Lady nimemiss kukuona tena na Kapeace sijakuona kabisa mkitupia mniite halafu msitupie late sana jamani
Nimeangalia hamna ile quote hamna kituNa nilishafuta nashangaa wengine wanasema walikua wanaiona...
Basi tutajitahidi kuendelea kutupia,Chombo ni chombo tu mkuu
Bantu Lady toka aanze kutupia ni muda sana! Kila siku toto alizoeleki. Haha mfano ile yako unaweza iangalia mara mia na usitosheke