Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Achana nayo tu๐๐hadi wote tuoneKweli?? Hahahaha๐๐๐sasa mm ndo sijui nifanyeje kipenzi..nafanyaje?
Kacoca kanalialia kuona pichaBasi mpk waje wabembelezwe na vivuruge wao kina Saint Anne na Aaliyyah
Yani yanaboa hatuliwi kweli bando?Duh naona jamiiiforums wameruhusu mfumo wa matangazo
Mzee mtata sana weweSubiri usikimbie usikilizi ya dunia, kwani hii jf ya mbinguni,
Unajifanya mjuaji wakati we jogoo mgeni mwenye kamba miguuni,
Tena ya kubet naona mudawangu wa kuwa bilionea ๐๐๐Duh naona jamiiiforums wameruhusu mfumo wa matangazo
Unarudi kwenye ile uliyoquote picha. Unaweka Edit, unazifuta Attachment zote 2. Baada ya hapo unasave kipenzi changu Kalpana ๐ฅฐKweli?? Hahahaha๐๐๐sasa mm ndo sijui nifanyeje kipenzi..nafanyaje?
Hebu tuone VAR tufananishe๐ฅ๐ฅ๐ฅHuo mguu tunataka kufanana..๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ hongera dada mrembo....ngoja wakulungwa wachukue waifanyie utafiti...
Kako chuo kumbe? Ndo maana kametulia siku hiziKacoca kanalialia kuona picha
Kapambane na field
Hata mkirudia katapitwa tena ๐๐๐
Hamna haili bando ila naona wamefanya hivi na wao wapate maokoto yakutoshaYani yanaboa hatuliwi kweli bando?
Huo mguu ulofanananna BL uko wapi?๐๐๐Haya sawa dear..
Unautaka? ๐๐Huo mguu ulofanananna BL uko wapi?๐๐๐
Mkono lazima uende kinywaniDuh naona jamiiiforums wameruhusu mfumo wa matangazo
Ila umeanza. Picha hazifutiki ila umekuja naanza kucheka jamani. Nkamu wako kapotea toka jana. Msabahi, atakuta manyoya ๐ ๐คฃ๐Afadhali ๐๐ฅ๐ฅ
Nkamu naye aikute๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Guu kama guu jamani๐ฅ๐ฅ
Mmeanza aisee...Hebu tuone VAR tufananishe๐ฅ๐ฅ๐ฅ
We are sure inafanana๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Eeh tuone kabla usiku haujawa Mkubwa๐๐Unautaka? ๐๐
Kabisa aisee hiii itawalipa sanaMkono lazima uende kinywani