Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Achana nayo tu😂😂hadi wote tuoneKweli?? Hahahaha😄😄😄sasa mm ndo sijui nifanyeje kipenzi..nafanyaje?
Ilibaki hivi nipitwe
Haya turudie ile picha yetu ya mchana Mtani 🔥🔥🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nayo tu😂😂hadi wote tuoneKweli?? Hahahaha😄😄😄sasa mm ndo sijui nifanyeje kipenzi..nafanyaje?
Kacoca kanalialia kuona pichaBasi mpk waje wabembelezwe na vivuruge wao kina Saint Anne na Aaliyyah
Yani yanaboa hatuliwi kweli bando?Duh naona jamiiiforums wameruhusu mfumo wa matangazo
Mzee mtata sana weweSubiri usikimbie usikilizi ya dunia, kwani hii jf ya mbinguni,
Unajifanya mjuaji wakati we jogoo mgeni mwenye kamba miguuni,
Tena ya kubet naona mudawangu wa kuwa bilionea 😃😃😃Duh naona jamiiiforums wameruhusu mfumo wa matangazo
Unarudi kwenye ile uliyoquote picha. Unaweka Edit, unazifuta Attachment zote 2. Baada ya hapo unasave kipenzi changu Kalpana 🥰Kweli?? Hahahaha😄😄😄sasa mm ndo sijui nifanyeje kipenzi..nafanyaje?
Hebu tuone VAR tufananishe🔥🔥🔥Huo mguu tunataka kufanana..🥰🥰🥰 hongera dada mrembo....ngoja wakulungwa wachukue waifanyie utafiti...
Kako chuo kumbe? Ndo maana kametulia siku hiziKacoca kanalialia kuona picha
Kapambane na field
Hata mkirudia katapitwa tena 😂😂😂
Hamna haili bando ila naona wamefanya hivi na wao wapate maokoto yakutoshaYani yanaboa hatuliwi kweli bando?
Huo mguu ulofanananna BL uko wapi?😂😂😂Haya sawa dear..
Unautaka? 😃😃Huo mguu ulofanananna BL uko wapi?😂😂😂
Mkono lazima uende kinywaniDuh naona jamiiiforums wameruhusu mfumo wa matangazo
Ila umeanza. Picha hazifutiki ila umekuja naanza kucheka jamani. Nkamu wako kapotea toka jana. Msabahi, atakuta manyoya 😅🤣😅Afadhali 😍🔥🔥
Nkamu naye aikute🔥🔥🔥
Guu kama guu jamani🔥🔥
Mmeanza aisee...Hebu tuone VAR tufananishe🔥🔥🔥
We are sure inafanana🔥🔥🔥🔥🔥
Eeh tuone kabla usiku haujawa Mkubwa😂😂Unautaka? 😃😃
Kabisa aisee hiii itawalipa sanaMkono lazima uende kinywani