Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza kunae m1 nilimtukana tusi hilo la kilugha,
Namuambia, nipe kizibao cha orange, yeye analeta mgomba wa ndizi,
Liliniboa lile li mbwaa, na vile vimacho vyao, km pumbu za watoto, mxxxxiiieeew
Yanakeraa kweliii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣Ila coca
 
Auntiee, kunae mtu week ilopita alisemaa wee unacheka hovyo kisa meno meupe, yamgekua ya Yanga bingwa, usingethubutuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hivyo vitumbua vikojee, nifundisheeee.
🤣🤣Kasema ukweli Yani kama balozi wa whitedent auntie
Weka picha nikupe ujuzi auntie yangu siku wachina wakikuchanganya unawapikia vitumbua vyenye pilipili kichaa🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom