Kweli we uko open ila wazee wenzio wamefunga inabidi sasa vya wajukuu na babu tuyazungumzie hapa hapa kwenye kadamnasiPiemu yangu ipo wazi lakini sijawahi kupewa salamu hata Kwa bahati mbaya π
Kweli Wazee hatuna bahati π€
Tulia Tayana kuna dili nalisikilizia dogo π€£π€£Heee mpk hukuπ€£
Inazidi we mmama2730 mkato wa leo
Kilikupata nini? Uko vizuri inaonekana unapenda kupunga upepo?
Ulimuanza nani ukapigwa za uso cha uongo wew.!! Kwani ile midemu iliokuchuna ilikukataa?? πΉπΉSisi wanaume huwaga tuna anza ila tunaishia kujuta mwishoni π€£ππ
Picha za chino huwezi zipata sehemu yeyote ile. Ogopa matapeliπππ kasema anazo pic zako ananitumia
Ila ini mjanja sana, kasema ni maisha tu ya kitaa magumu, halafu kuna mtu ndo alimpa mchongo kwamba JF mabwege wengi njoo upige pesa πΉπΉ
π€£π€£π€£π€£Aliwakomesha wengine
Mimi mwenyewe kibaka mstaafu
Alafu kalivo kabwege kanaomba hela ndogo ndogo ili isiwe rahisi kuchomoa
Mimi leo nimekatisha kwa hiyo rate dollar imeshukaInazidi we mmama
Shem kapeace tayari kafungua pm π
π€£π€£π€£ chino nimekuona washa data nikutumie mzigo wako πΉPicha za chino huwezi zipata sehemu yeyote ile. Ogopa matapeli
Angalia usiibiwe mchuchu.wewe ndo utakua wa kwanza kuniona
Hakuna Cha maisha magumu kwa pigo zake izo kitaa wanamtafuna.
Afu dogo mi namjua sema kila mtu na maisha aliyechagua
Hahaha pisi mmoja ya kwenda ilituvuruga sanaHili lisinipite mkuu who is ini ππ€£
Ni nani huyo nitajie hata kwa code nitamjuaHahaha pisi mmoja ya kwenda ilituvuruga sana
Aisee tajiri ishi sana tajiriiiii huna bayaNyie wadada mnashindwa na mkaka The Monk anaselfika muda wote.
Nakoendaga hawawezi nifanyia hiyo roho nzuri najua watanigongelea hapo kwenye 2740 mbuzi wale ningesave hata laki kasoroMimi leo nimekatisha kwa hiyo rate dollar imeshuka
Duh aiseee π₯Nyie wadada mnashindwa na mkaka The Monk anaselfika muda wote.
Neema za mwenyezi mungu hizi shekheDuh aiseee π₯