Sitaki aibu ndogo ndogo mie 😂😂Tunautaka huo ukawaida
Yangu hiyo nasubiria yako bosi 😎Wee mbona kiatu kimoja kimebonyea 😂😂
Haya pic ya nani leo umetuwekea kaka bonge 😹
Njoo unipee PmHaya nimefuta siusha chukua babe
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅kuna kitu kimenifurahisha, tutumie tbt hata hizo zinaruhusiwaNimewaambia nna mimba 😂😂
Subirini nijifungue
Huyo hana kitu chochote kuhusu Mimi.Ini kasema anatuma na video eti 😂😂
Ila nyinyi watu, mbavu zangu jamani. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mna nini lakini? Sijui maneno yanatoka wapi? Halafu wachochezi hao 🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅 hatuselfiki leo 😂😂😂😂
Futa kauli ya uking'anga bana.Wewe na mashetani yako tu mmeamua kuwa ving’ang’a 🤣🤣
Tumempambania sana Shangazi huyo🤣🤣🤣 Nkamu shangazi hana jeuri hiyo si ndio washika pochi yake..!
Umesahau tumemsaidia kumfukuzia waasi
Muone 🥰🥰🥰nimeselfika. Haya mselfike nanyinyi sasa. Acheni kuwasha moto wa petrol, nitawachapaUsituangushe tajiri
Lipu jamani🔥🔥🔥
Hee!Muone 🥰🥰🥰nimeselfika. Haya mselfike nanyinyi sasa. Acheni kuwasha moto wa petrol, nitawachapa
😂😁Huyo hana kitu chochote kuhusu Mimi.
Na Mimi ndo mtu wa kwanza kumsanua kina sumbai wasiendelee pigwa
Kipindi icho sikujui mtoto Mimi sio wa kuingizwa chaka si umeona nakuganda kama ruba.
Karibu sana mama mchungaji, mambo ya pizza😂Jmn mbona hivi unanitamanisha
Pm siumefunga babe au Nitumie ujumbeNjoo unipee Pm