Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usituangushe tajiri
Lipu jamani🔥🔥🔥
Ila nyinyi watu, mbavu zangu jamani. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mna nini lakini? Sijui maneno yanatoka wapi? Halafu wachochezi hao 🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅 hatuselfiki leo 😂😂😂😂
 
Muone 🥰🥰🥰nimeselfika. Haya mselfike nanyinyi sasa. Acheni kuwasha moto wa petrol, nitawachapa
Hee!
Saa ngapi jamani umeselfika
Shepu inipite?
Hapana kwa kweli.

BL usijali
Sisi wenyewe ndio petrol
Usijali kuhusu moto,mambo ya kawaida hayo.
 
WIN_20240907_12_50_21_Pro.jpg

Wameungua lol 😂 😂 😁 😁
 
Back
Top Bottom