🤣🤣🤣🤣 Hakuna kupitwa hiyo.. nikiona nachekaga.!M
Ndio yake yapo kama plate za jiko, nilisoma sehemu ila watuuuu
Itakuwa wambea wamemtisha 🤣🤣🤣Nisingemtag hapo juu hata kunilike kaacha sijui nilimtisha nini,
Wambea wanoko sana, wachawi watu paka katumwa tuItakuwa wambea wamemtisha 🤣🤣🤣
JF ina hekaheka sana hii 😂Wambea wanoko sana, wachawi watu paka katumwa tu
Hatari naona watu wana sema kwenye mitandao leo Vodacom hali si haliNimemuona shemeji 🔥🔥🔥🔥🔥
Leo mtandao unasumbuaa sana huku kwetu
Ulipotea hivi umerudi tena
Itabidi nikitoa mzigo shamba uje unichukulie simu nzuri nianze selfika! Hii imekufa ndiomana si selfiki🤣🤣🤣🤣 Hakuna kupitwa hiyo.. nikiona nachekaga.!
Sasa kuna iPhone XR wanaibadilisha inakuwa km 13pro max huwezi kujua mpk uingie kwenye settings..
Ili matunda atumiwe yeyeJF ina hekaheka sana hii 😂
Hawajui utani, hapo kuna paka kajipitisha kwenda kutoa taarifa za uongo.! Kakusagia kunguni 😂😂😂
Tumia AirtelNingetupia tatizo voda wamepididiwa leo🤪🤪
Voda wamejua kutukomesha🙌🏿Hatari naona watu wana sema kwenye mitandao leo Vodacom hali si hali
Voda jana ni kiboko😂😂😂Ningetupia tatizo voda wamepididiwa leo🤪🤪
🙌🏿🙌🏿🙌🏿😂😂😂😂😂😂Wewe unazuga hapa, mshafunguliana Milango na babu uko mnabebishana kwa raha zenu 😜
Niungeni kwenye convo basi niwe nawaona mnavyosisitizana kunywa dawa za presha kwa wakati 🤣🤣
Bado mpaka asubuhi hii naona una wengeVoda jana ni kiboko😂😂😂
Hadi kavuruga combo ya cheka2 yetu
Asante babu 🙄Uzee kichwa kinasahau mambo, tunashikuru kama umepona mjukuu.
Nikutakie Jumapili njema
Nina muda mrefu sijamuona huyo Mjukuu, bora umkumbushe apite kunisalimia Babu yake 🤗Tayana-wog babu kasema kakupa korosho zangu zilete kabla sijaita majini ya kina Sanga 🤣🤣🤣
🤣🤣Majini yatagonga mwambaTayana-wog babu kasema kakupa korosho zangu zilete kabla sijaita majini ya kina Sanga 🤣🤣🤣