Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku hizi nimekuwa mvivu kwenda church mpk najishangaa.. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tatizo nikimsoma Kiranga naona ana hoja
Eti min -me mshaanza kuniharibu haki 😹
Uwiii Yesu wanguπŸ₯²πŸ˜­
Nkamu usiwasikilize hao.
Omba Toba aisee kama Kwa namna yoyote ulidoubt uwepo wa Mungu.

Ukweli ni kwamba Mungu yupo
Na ndiye muumba wa mbingu na Dunia na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.

Na ndiye mwanzilishi wahiyo sayansi inayowachanganya watu.
 
Majasiri sana alooo.!
Wengine km wametahiriwa na panga havieleweki 🀣🀣🀣🀣

Ila pm raha nyie ukiwa mmbea unabwagiwa mibalaa ya waja kwa raha zako..!

Kuna mmoja ana poumbou km za mbusi kiruuuuu.!! 😹😹😹
Ila umbea naacha rasmi nitapofuka macho bure nishindwe kuweka order za maua ya vijora vyangu..

Mahi nakutumia sie tena wambea…!!
 
Sawa kiuno nyigu, umesali leo lakini?
Mapema sana kabla ya yote.

Haya
Tunaomba picha mweee
Yaani nimevaa hadi miwaniπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯


Vyuma vinaenda kuporomosha picha πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Mapema sana kabla ya yote.

Haya
Tunaomba picha mweee
Yaani nimevaa hadi miwaniπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯


Vyuma vinaenda kuporomosha picha πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Basi usinikazie hivyo mdogo wangu, unajua nashindwa kukukatalia yule kivuruge mwenzio yuko wapi kwanza?
 
Achaa Fix, tumaa vochaaa mzee wa hall V.
ila Figo ndo ulikua unampaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kila nikikumbuka jinsi alivyo walizaa, nabakii hoiii.
🀣🀣🀣🀣🀣

Kumbe mambo ndio yalikuwa hivi...

Rumour has it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…