Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nenda kwa kujilazimishaa.
Yani mimi niliyekuwa nakusisitiza wewe ss hivi nimekengeuka kabisaa.!!
Hawa raia wa maandishi matatu wanatutoa kwenye uwepo wa Mungu 🤣🤣🤣
 
Hee
Yesu wangu

Lini haya yametokea?[emoji23]
Ni id gani hiyo?

Ila watu wana hekaheka[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mbonaa ni ya mwakaa janaa hii, na alishtukiwa na jamaa, baada ya hiyo siku kusahau kuweka hiyo settup.

Jamaniiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila coca [emoji1787]

Hauna kapicha tuone?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Picha wanazo wake wenzakee.

Ilaa mie nshastaafu heka hekaa, kwanini mnanirudisha chamani tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utaviweza vijukuu vya Farao lakini??
Katika kitu sitokuja kujaribu kudate na mwanaume niliyemzidi umri aiseee.!! [emoji1787][emoji1787]

Wakinga tuna dharau sasa kimtu kidogo eti kinipande kichwani naweza nikamzabua kofi akanichukia… [emoji81][emoji81][emoji81]
Kuna mwebrania nilimuwashaga kofi halafu nikakimbia mimi, nikaona hapa huyu uvumilivu uko 0.00 ntachapika bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii leo ntapasukaa mbavuu.
 
Hakuwa anaweka settup kuna dem alikuwa anampanga anaongea nao [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa yulee aliyefunguaa uzi, c ndo alisema alikua anaweka settup, ile siku akajisahau, akashangaa jisauti ja jibaba hii hapaaa.

Jamaniii hii JF mbna ina manjegekaa hiviii? Woiiiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Thubutuuuu, autoe wapii u tall? Ni kifupii, kina macho makubwaa, hata kwenye Gari hakuweza kushukaa,

Afu hapo unaambiwaa walikua wanaendaga had gym,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nyiee mie sitakiiii, nimeokokaa.

Woiiiiiiih
Nambie koma shosti 😂😂

Kwahiyo shem ana macho km ndubwi?! 😹
Na walikuwa wanamgombania kabisaa?!!
Nyie pesa hizi zinadhalilisha wadada wafanye kazi watabeba viemoro 🤣🤣🤣

Eeh gym walikuwa wanaenda kufanya mazoezi ya nini?? 😂😂
Na wanaume wafupi wasivyojiamini sasa.!!
Kila demu anamtaka ili kuziba kasoro zake 😹
Wanajifanyaga lover boy na wanapenda kujisifia wanamiliki migobole kumbe hamna kitu.! Hivi mi nataka kusemaje?? 😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mbonaa ni ya mwakaa janaa hii, na alishtukiwa na jamaa, baada ya hiyo siku kusahau kuweka hiyo settup.

Jamaniiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hee
Lini?
Mbona hamkunishtua mwenzenu nikapitwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii leo ntapasukaa mbavuu.
😂😂😂 hii tabia naipenda yani temper ikiwa high kifuatacho kelbu..!
Kuna mtu alinitibua kuna siku nikasema ww ungekuwa karibu kofi ningekuwasha ungesimulia had vitukuu vyako..!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa yulee aliyefunguaa uzi, c ndo alisema alikua anaweka settup, ile siku akajisahau, akashangaa jisauti ja jibaba hii hapaaa.

Jamaniii hii JF mbna ina manjegekaa hiviii? Woiiiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 JF ina vituko sana..
Kuna member anaitwa yellow donat unamjua??
Namtafuta ana maubuyu mengi sana
 
Utaviweza vijukuu vya Farao lakini??
Katika kitu sitokuja kujaribu kudate na mwanaume niliyemzidi umri aiseee.!! 🤣🤣

Wakinga tuna dharau sasa kimtu kidogo eti kinipande kichwani naweza nikamzabua kofi akanichukia… 😹😹😹
Kuna mwebrania nilimuwashaga kofi halafu nikakimbia mimi, nikaona hapa huyu uvumilivu uko 0.00 ntachapika bure.
😅😅😅we kweli uvumilivu huna, nimeandika tu mimi ndo kabisaa siwezi kujaribu kuwa na dogodogo na hizi dharau mtoto wa watu anaweza kujuta kuzaliwa, mi na wazee mpaka kifo kitutenganishe
 
Nambie koma shosti [emoji23][emoji23]

Kwahiyo shem ana macho km ndubwi?! [emoji81]
Na walikuwa wanamgombania kabisaa?!!
Nyie pesa hizi zinadhalilisha wadada wafanye kazi watabeba viemoro [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Eeh gym walikuwa wanaenda kufanya mazoezi ya nini?? [emoji23][emoji23]
Na wanaume wafupi wasivyojiamini sasa.!!
Kila demu anamtaka ili kuziba kasoro zake [emoji81]
Wanajifanyaga lover boy na wanapenda kujisifia wanamiliki migobole kumbe hamna kitu.! Hivi mi nataka kusemaje?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Semaa chochotee unachotakaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF ni full heka hekaa mahiiiii.

Na alikua anawatafutia kazi, ndugu wa wake zakee, au marafiki wao.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilaa selee, ananiacha hoii padogo tyuuh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hii tabia naipenda yani temper ikiwa high kifuatacho kelbu..!
Kuna mtu alinitibua kuna siku nikasema ww ungekuwa karibu kofi ningekuwasha ungesimulia had vitukuu vyako..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyiee mnanivunjaa mbavu ujue,
Woiiiiiiii.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] JF ina vituko sana..
Kuna member anaitwa yellow donat unamjua??
Namtafuta ana maubuyu mengi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mahiiii usinifanyee nisemee nilichokuaa nawazaa.
Mxxxxiiiiieeeeew.
 
Back
Top Bottom