Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Sawa nitumieNakutumia Pm ☺️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nitumieNakutumia Pm ☺️
Nambie dada yangu upo gudi ?Vincenzo Jr kaka angu
Niko poa kabisaNambie dada yangu upo gudi ?
Ok wasalimie uko mwanzaNiko poa kabisa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Salamu zitafikaOk wasalimie uko mwanza
Mwanza hatoki fala wote viwembe
Mim msukuma mshamba kabisa 😁😁😳Mwanza hatoki fala wote viwembe
🤣🤣Hizi bluetick za safari hii zinaverify wagonjwa wa akili
...kila mmoja awe shahidi wa mwenzake.Watutongoze na tuwakatae hapa hapa nani anataka kukaushwa mate!🤪
Kwani nyie ndo watoaji pesa?🙌🙌🙌
Mkifunga piem mtapataje ela??
🙌🙌🙌🙌🙌🙌Kwani nyie ndo watoaji pesa?
Nyie wenyewe huwa mnadangaga pia.
Msituchoshe😎
Mtoto wa kiume unafungaje Pm?
Waambie wenzako wafungue Pm.
Mwanaume hana pesa, hana mvuto, kazi ya maana hana,mwanamke wa maana hana.....halafu anafunga Pm
Mtakosa madili😏😏😏
We si ndo umesema?🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Wanaume wanaofunga piem wanaogopa kusumbuliwa na wanaume wenzao. Hahah inshort sio wenzetu
Hivi wapo kweli??
😂😂😂😂Ety eeehHapana...
Chassis bado nzima....
Kilometer chache saana