Selfika na JF: Snap it. Show it

🙌🙌🙌
Mkifunga piem mtapataje ela??
Kwani nyie ndo watoaji pesa?
Nyie wenyewe huwa mnadangaga pia.
Msituchoshe😎

Mtoto wa kiume unafungaje Pm?
Waambie wenzako wafungue Pm.
Mwanaume hana pesa, hana mvuto, kazi ya maana hana,mwanamke wa maana hana.....halafu anafunga Pm
Mtakosa madili😏😏😏
 
🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Wanaume wanaofunga piem wanaogopa kusumbuliwa na wanaume wenzao. Hahah inshort sio wenzetu

Hivi wapo kweli??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…