Kapeace ni pisi kweli imesimama, yani huyu ndio Nick Minaj wetu humu.! 😜Kwanza id yake tu inasadifu yaliyomo
Zile lips zake sasa
Ni za moto🔥🔥🔥
Na hapo hatumii hata lipstick
Yaani dada wa moto balaa🔥🔥
Mekumbuka ile meme mtoto katumwa dukaniNkamu ntakudunda 🤣🤣🤣
Yani nimecheka khaaaa.!!
Shangazi anajisemesha km mtoto katumwa dukani.! 😹😹😹
🤣🤣🤣 Shangazi kibokoNguvu za kupigana na shangazi sina
Mtu anameza hadi tumbo
Huyo kunidunda na ngumi ni dk sifuri😂😂😂😂
Ila alilimeza aisee
Akawa na flat tummy kama mimi
Huyu ni Beyonce mtupu yaaniKapeace ni pisi kweli imesimama, yani huyu ndio Nick Minaj wetu humu.! 😜
Ile pic sijui kwann sijaichukua nimuonyeshe babu G jamaniii..!
Sijui kwanini alifuta wakati alilifinyia tu vizuri Kwa ndani🤣🤣🤣 Shangazi kiboko
🤣🤣🤣🤣Sele yeye ni kumCC tu shangazi
Kumpeleka shishi food siyo shida zake .
Kw tumavyomjha shangazi,,akienda shishi food tutakoma na mapichapicha
Robo ya utumbo elfu2
Shangazi ananyunyiza dagaa kwenye ndizi jamani😀😂
😂😂😂😂Mekumbuka ile meme mtoto katumwa dukani
Kiberiti mia chenji irudi
Ukipita usiku unaweza dhani shangazi ananena kwa lugha
Anavyojisemesha
...
Machawa wanapunguzaga mtu kujisemesha
Km bey basi babu G Jigga 🤣🤣🤣
Irudiwe nione flat tummy 😹Sijui kwanini alifuta wakati alilifinyia tu vizuri Kwa ndani
Kabisa aisee🤣🤣🤣🤣
Hivi ni robo elfu 2 sio elfu 3? 🤣🤣🤣
Sele kazidi ubahili sasa kweli mtori wa dagaa kauzu anamlisha mwenzie??
Shangazi ampige chini mwanaume gani kazi y’a Cc tu huduma zero 😹
Anawapigaga mkwara wakina wanaman😂😂😂😂
Nkamu kwahiyo shangazi ananena kwa lugha? Hajareeee wala neneee 😹😹
Ila shangazi bana ananipa raha sana, yeye akiona Cc km kaona dollars ananenepa kwa raha zake..!
Sijui kama atairudiaIrudiwe nione flat tummy 😹
Kwanza id yake tu inasadifu yaliyomo
Zile lips zake sasa
Ni za moto🔥🔥🔥
Na hapo hatumii hata lipstick
Yaani dada wa moto balaa🔥🔥
Dada
Napokeaaa kwa jina la aliye juu,😅😅😅Dada
Wewe ni mzuri sana aiseee
Glory be to God Kwa kazi njema ya uumbaji
Malizia sasa na Full mojaaNapokeaaa kwa jina la aliye juu,😅😅😅
Hiyo tu roho inanichonyota😅😅Malizia sasa na Full mojaa
Yaani wewe top1 hadi 10 ni wewe🔥🔥🔥🔥🔥
Huna mpinzani