Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwanza id yake tu inasadifu yaliyomo
Zile lips zake sasa
Ni za moto🔥🔥🔥
Na hapo hatumii hata lipstick

Yaani dada wa moto balaa🔥🔥
Kapeace ni pisi kweli imesimama, yani huyu ndio Nick Minaj wetu humu.! 😜

Ile pic sijui kwann sijaichukua nimuonyeshe babu G jamaniii..!
 
Nkamu ntakudunda 🤣🤣🤣
Yani nimecheka khaaaa.!!

Shangazi anajisemesha km mtoto katumwa dukani.! 😹😹😹
Mekumbuka ile meme mtoto katumwa dukani
Kiberiti mia chenji irudi

Ukipita usiku unaweza dhani shangazi ananena kwa lugha
Anavyojisemesha
...
Machawa wanapunguzaga mtu kujisemesha
 
Sele yeye ni kumCC tu shangazi
Kumpeleka shishi food siyo shida zake .
Kw tumavyomjha shangazi,,akienda shishi food tutakoma na mapichapicha


Robo ya utumbo elfu2
Shangazi ananyunyiza dagaa kwenye ndizi jamani😀😂
🤣🤣🤣🤣
Hivi ni robo elfu 2 sio elfu 3? 🤣🤣🤣
Sele kazidi ubahili sasa kweli mtori wa dagaa kauzu anamlisha mwenzie??

Shangazi ampige chini mwanaume gani kazi y’a Cc tu huduma zero 😹
 
Mekumbuka ile meme mtoto katumwa dukani
Kiberiti mia chenji irudi

Ukipita usiku unaweza dhani shangazi ananena kwa lugha
Anavyojisemesha
...
Machawa wanapunguzaga mtu kujisemesha
😂😂😂😂
Nkamu kwahiyo shangazi ananena kwa lugha? Hajareeee wala neneee 😹😹

Ila shangazi bana ananipa raha sana, yeye akiona Cc km kaona dollars ananenepa kwa raha zake..!
 
🤣🤣🤣🤣
Hivi ni robo elfu 2 sio elfu 3? 🤣🤣🤣
Sele kazidi ubahili sasa kweli mtori wa dagaa kauzu anamlisha mwenzie??

Shangazi ampige chini mwanaume gani kazi y’a Cc tu huduma zero 😹
Kabisa aisee
AnamCC tu bila hela
Hii haitakiwi

Shangazi yetu is too good to eat small fish na matoke
 
😂😂😂😂
Nkamu kwahiyo shangazi ananena kwa lugha? Hajareeee wala neneee 😹😹

Ila shangazi bana ananipa raha sana, yeye akiona Cc km kaona dollars ananenepa kwa raha zake..!
Anawapigaga mkwara wakina wanaman
Eti hajaree

Muongo
Hawakumuona kipindi ana machawa alivyokuwa anatamba
 
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu ni zaidi ya Beyonce kudadek
Lamomy sasa nakuelewa
Kwanini top1 hadi 3 ulimpa kapeace🔥🔥🔥

Pisi imesimama
Aiseeeee
Mzuri🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…