Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣 Babu atajidai basi akiona hii commentBabu lazima apatiwe joto joto ili aishi maisha marefu zaidi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Babu atajidai basi akiona hii commentBabu lazima apatiwe joto joto ili aishi maisha marefu zaidi,
Nkamu🤣🤣🤣 Mi sina mambo anakuchuuza huyo.!
Hana baya babu yako🤣🤣🤣 Babu atajidai basi akiona hii comment
Filter za Tekno utasema mtu anapigwa na mwanga wa mawinguSs hivi ana tekno 😹😹
Kuna pic ya jersey niliona na ka filter
Yaani shangazi bhana menu zakeNdiomana kitambi hakiishi we maharage, dagaa na matoke unafanya mchezo?!! 😹😹😹
Mwenzio napigwa na jua nauza vijora bado shemeji yako hajaniibia pesa zangu akabetie 😹😹😹Nkamu
Nipe Dili hizo nirudi kariakoo nishike mahela
Unajua muda unakimbia na Mimi bado sina hela
Nisije kufa kabla sijazikamata
Babu mitano tenah 😂😂😂Hana baya babu yako
Pisi kali wewe🔥🔥🔥Nyie mmerogewa mie leo
Eeh 😜Filter za Tekno utasema mtu anapigwa na mwanga wa mawingu
Tekno ipi?
Ile macho matatu kama plate za jiko?
Mida ya wanga ndo mida yangu ya kujimwambafai humuPisi kali wewe🔥🔥🔥
Hili halihitaji hata D mbili
Tunaomba picha dada mzuri
Utusafishie Uzi🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂Mwenzio napigwa na jua nauza vijora bado shemeji yako hajaniibia pesa zangu akabetie 😹😹😹
🤣🤣🤣 Lini hiyo?Yaani shangazi bhana menu zake
Juzi kati alituma picha amemezea tumbo Kwa ndani
Mida ya wanga ndo mida yangu ya kujimwambafai humu
Natupia km nakonyeza 😂😂😂Ubaweka chap na kufuta
Sisi tutawapa ushuhuda watakaopitwa,
Namna dada ulivyoshikilia namba 1,2 na 3 zote zako🔥🔥🔥
Alijua kulimeza balaa😂😂🤣🤣🤣 Lini hiyo?
Em atupie tena nisafishe macho.!
Haya ndio maneno sasaNatupia km nakonyeza 😂😂😂
Mikeka kila siku inachanika ananimalizia pesa zangu 🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila si zinarudi
Mechi za sasahivi zinatabirika
Shemeji lazima mkeka utick
We vijora vina hela
Kuna dada mmoja naona sasahivi kajikita zaidi kwenye vijora..amepunguza Kasi Kwa waturuki
Na ana hela balaa 🔥🔥
Nipe ramani sasa Nkamu nirudiMikeka kila siku inachanika ananimalizia pesa zangu 🤣🤣🤣
Tunakoelekea nampeleka akanisaidie kuita wateja.!!
Kkoo pesa ipo kikubwa uwe na mali nzuri inayouzika walau kwa mwezi ushushe mzigo hata mara mbili..!
Wewe Nkamu rudi tupambane na wakongo 😀