🤣🤣🤣🤣Umesema wewe Nkamu kuwa tight ya net
Mimi sijui😂
Moto ilikuwa 😹😹😹Kuna ile ya lipsi ya majuzikati
Igweeeeeeeeee 😹😹Wewe ni special case!! Chino hana wa kukufananisha nae!!
Uandikage maurithi mapema usijetesa wajukuu zako na maugomvi ya mali.Nitajitahidi Kwa kweli, maana bado sijaandika hata urithi 😜
Wewe bando zenyewe za kutega mahotelini huku unawalia mingo wazungu 🤣🤣Wameishiwa bando zao za kupima
Tayari ushaanza kupata joto la mwezi? 😹😹Kuna wale vichaa mtu na mkewe wote taahira.
Siku hizi nimeacha ukorofi, nikiliamsha humu hapatoshi.
Usipotee sana! Kina chino tusipokuona hatuwi sawa
Hahaha usijali kipenziBila shaka ndio unaniletea Uzi wangu og wa Liverpool
Live live lazima nikunyariMoto ilikuwa 😹😹😹
Nkamu mbona hujanishtua 😹😹Bila shaka ndio unaniletea Uzi wangu og wa Liverpool
Wapi hapa? Mixer kiarabu na english.
SomaliaWapi hapa? Mixer kiarabu na english.
Basi bibi wewe utapewa ile apartment yake ya masaki 😹😹Urithi wa bibi yako huo wewe utakuwa mpangaji😅
😹😹😹 chino nikikukuta mbinguni naenda motoniUsipotee sana! Kina chino tusipokuona hatuwi sawa
Chino tupia pic nikuone nataka kusepa 😹😹Live live lazima nikunyari
Ntaanzia wapi chino
Ouh hongera sana...Somalia
Wifi bado hujarudi
Jf watuwekee voice chat, mi leo niko hoi hata kutype najionea uvivu, msalimie babu G mwambie tutakutana ndotoniBasi bibi wewe utapewa ile apartment yake ya masaki 😹😹
Mi niache niambulie iko ki plot bas