mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
shikilia mzee wanyama wakali tukimbahatisha umeishaDogo mbishi sanaππ
Siku hizi upo solid sana kwenye mijadala, Kuna sehemu niliona umetumia akili kubwa sana kujibuπshikilia mzee wanyama wakali tukimbahatisha umeisha
Nawaona nawaona wakongwe. MmetuliaView attachment 3126970
Siku moja moja sio vibaya kujumuika na Vijana kukumbukia enzi za Mwaka 47 π€
Niliingia hapo kumtafuta Dr Lizzy lakini nilitoka baada ya dakika 5 maanake kila nikiangalia kushoto kulia naona biinti zangu tu huku wananishangaa huyu babu kapotea njia π€£π€£π€£π€£View attachment 3126970
Siku moja moja sio vibaya kujumuika na Vijana kukumbukia enzi za Mwaka 47 π€
Daughters are the best [IMO].Hongera Mkuu, you have been blessed with a very nice daughter
Wanasema mtoto wa kike ni rafiki wa Babaπ
Siku nikifanikiwa kupata mtoto wa kike kwenye Uzao wangu, lazima ninunue Mbwa mkali kwaajili ya kuimarisha Ulinzi nyumbani
Sitaki akina Kapachino na wenzake akina Half american hata wamsogelee π€
Hii wapi?View attachment 3126970
Siku moja moja sio vibaya kujumuika na Vijana kukumbukia enzi za Mwaka 47 π€
Njombe Leo tunaanzaYeees yeeees.
Mimi nasubiri Kwa hamu seminar iishe.
Wakongwe wapiπ€£Nawaona nawaona wakongwe. Mmetulia
Siku moja moja sio mbaya kukumbukia enzi, isingekuwa hizi mvi zangu ningekuwa nawajoin Vijana Kila Siku hapo πNawaona nawaona wakongwe. Mmetulia
Hii breakfast mbona hatushibi Mjukuu π€#SelfimInducedInsomnia View attachment 3127262
Usiniambie ile Karaoke ya Jana nawe ulipanda stejini π
Hiki ni Kiwanja cha burudani hapo Mji Kasoro bahari, ukipata nafasi sio mbaya kutembelea hapo kuosha machoHii wapi?
Absolutely, all kids are special πDaughters are the best [IMO].
Nevertheless, all kids are special.
Mimi pia nilidhani ningemuona hiyo Jana, maana kulikuwa na KaraokeNiliingia hapo kumtafuta Dr Lizzy lakini nilitoka baada ya dakika 5 maanake kila nikiangalia kushoto kulia naona biinti zangu tu huku wananishangaa huyu babu kapotea njia π€£π€£π€£π€£
Hi sumbai habari ya weweHello
Jadda,
Greeting from this side