Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona kama sielewi? 🙄🙄🙄🙄🙄
Ina maana napitwa na ya humu hivi? Huu ubusy hovyo kabisa.
Anyway leo nitakuwa uwanjani, nani anaenda? Ila ndiyo tusioteane, ndiyo huyu ndiyo yule please 😅😅😅😅😅😅
#Yangadaimambele#
🟡🟢
Kila la kheri 🦁🦁🦁🦁

Nyinyi mtafungwa.
 
IMG_20241019_074811.jpg

Ndugu yangu Grahams ulishafika kusini?? Newala, nachingwea, mtama

Nipe sifa ya pisi za huku...
 
Mbona kama sielewi? 🙄🙄🙄🙄🙄
Ina maana napitwa na ya humu hivi? Huu ubusy hovyo kabisa.
Anyway leo nitakuwa uwanjani, nani anaenda? Ila ndiyo tusioteane, ndiyo huyu ndiyo yule please 😅😅😅😅😅😅
#Yangadaimambele#
🟡🟢
Ukimuona jamaa kavaa kofia nyeusi Ina logo ya Yanga afu mweupe ujue ni Mimi 😎😎😎
 
Back
Top Bottom