Selfika na JF: Snap it. Show it

Zipo vizuri mno, Kwa Wazee wa Umri wetu sishauri uchukue mzigo huko...

Unaweza kukuta katikati ya safari unaomba Maji

Na kama hujatembea na dawa zako za Presha jiandae kukimbizwa Zahanati ya jirani 😜
Asante saana Kwa tahadhari, silaha zote zipo katika Hali njema kabisa. Ngoja nimalizie kilichonileta kisha nizame chimbo....

Naona kabila kubwa huku ni wamwera.
 
Asante saana Kwa tahadhari, silaha zote zipo katika Hali njema kabisa. Ngoja nimalizie kilichonileta kisha nizame chimbo....

Naona kabila kubwa huku ni wamwera.
Huko Wamwera ndiyo wengi

Mwaka 92 niliwahi kupita huko, isingekuwa watu wa Makao Makuu kutuma gari la Ofisi kuja kunichukua Kwa nguvu, mbona nilishalowea kule πŸ˜œπŸ™Œ
 
Huko Wamwera ndiyo wengi

Mwaka 92 niliwahi kupita huko, isingekuwa watu wa Makao Makuu kutuma gari la Ofisi kuja kunichukua Kwa nguvu, mbona nilishalowea kule πŸ˜œπŸ™Œ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

92???

Hahahaha alafu vitoto vya afumbili vina confidence balaaa yaaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…