Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nipo gudi dada yanguPoa kaka Vin
Uko poa
Vizuri sanaNipo gudi dada yangu
Zipo vizuri mno, Kwa Wazee wa Umri wetu sishauri uchukue mzigo huko...View attachment 3129614
Ndugu yangu Grahams ulishafika kusini?? Newala, nachingwea, mtama
Nipe sifa ya pisi za huku...
Nilikaa dakika 5 tu nikaamua kuondoka, maana sio Kwa mizigo ile Vijana wanaitaga πBabu hapo hapakufai wewe nenda Florida kule kuna walugulu band, kuzuri kwa wazee πΉπΉ
Asante saana Kwa tahadhari, silaha zote zipo katika Hali njema kabisa. Ngoja nimalizie kilichonileta kisha nizame chimbo....Zipo vizuri mno, Kwa Wazee wa Umri wetu sishauri uchukue mzigo huko...
Unaweza kukuta katikati ya safari unaomba Maji
Na kama hujatembea na dawa zako za Presha jiandae kukimbizwa Zahanati ya jirani π
Huko Wamwera ndiyo wengiAsante saana Kwa tahadhari, silaha zote zipo katika Hali njema kabisa. Ngoja nimalizie kilichonileta kisha nizame chimbo....
Naona kabila kubwa huku ni wamwera.
Ooh it will be hard to know me mkuu... Nafanya mazoezi osterbay most of the timeTUKUTANE kukata wese
πππππππHuko Wamwera ndiyo wengi
Mwaka 92 niliwahi kupita huko, isingekuwa watu wa Makao Makuu kutuma gari la Ofisi kuja kunichukua Kwa nguvu, mbona nilishalowea kule ππ
Poa kaka usijaliπ€£π€£Mambo tunaweza kupata kahawa hapa taifa kwenye mechi ya Yanga na Simba
πππ Kwa furaha niliyo nayo tutakunywa na bia hadi asubuhiPoa kaka usijaliπ€£π€£
Huna timu masta
Situmii alcohol bwana Vπππ Kwa furaha niliyo nayo tutakunywa na bia hadi asubuhi
Tutapata kahawa ya maziwa ππSitumii alcohol bwana V
Poa VMambo π Tayana-wog
Natumia capchino,π€£Tutapata kahawa ya maziwa ππ
Nipo gudi nina Raha sana Leo πππYanga wamenipa RahaPoa V
Za ww?
πππ Hiyohiyo tutapata jioni ya leoNatumia capchino,π€£
Naona stts zimechafuka watu na mpiraNipo gudi nina Raha sana Leo πππYanga wamenipa Raha