Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Tayana ukitoka bondeni nibebee windhoek na Savannah 😋😜Napita 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayana ukitoka bondeni nibebee windhoek na Savannah 😋😜Napita 🤣🤣
Ahahaha acha mitelu wewe mzeeHahaha!! Fuata taratibu za MA wasijekukuengua.
Lipo bhana, em fanya jambo Tee 😹Akaaaa
Sina jipyaaa☺️
🤣🤣🤣🤣ht huku bongo mbona zipo jmnTayana ukitoka bondeni nibebee windhoek na Savannah 😋😜
Kumbe pisi imenyoooka unabebekaWivuuuuuuuu 😹😹😹
Rangi ninayo aisee mazee ya mtume urithi kutoka kwa bibi
😹😹😹Amen, napokea kwa Jina la Yesu...
Vacation time sioNapita 🤣🤣
Sina kweli TenaLipo bhana, em fanya jambo Tee 😹
Za bongo zinakuwa hazinogi siku hizi wahuni wanachakachua mbagala huko 😹😹🤣🤣🤣🤣ht huku bongo mbona zipo jmn
Aah sie wengine tuko tu vijijini hukuVacation time sio
Zipo 😹😹😹Sina kweli Tena
Sipendi aibu,hizi maneno unatoa wapi? Maana yake?Ahahaha acha mitelu wewe mzee
Shem 🤣Za bongo zinakuwa hazinogi siku hizi wahuni wanachakachua mbagala huko 😹😹
Tayana nitumie ticket nije, naona shem kakupeleka bondeni holiday 😀
Single hiyo kwiyooo 😹😹😹Shem 🤣
Mbona Niko Single
SafiiiiiThanks 2024❤📌🔨View attachment 3188071
Dharau umeanza lini na dada yako? 😳Kumbe pisi imenyoooka unabebeka
SafiiiiiLunch time
View attachment 3186350
✔️✔️Merry Christmas wana selfika 🥰🥰
🤣🤣🤣🤣Single hiyo kwiyooo 😹😹😹
Hebu uje pm unipe udambu dambu wa huko mie bwana weeh 🤣
Ila mama pasta kwenye kupiga drip huwa unatunyoosha km rula 😍😍Huwezi amini nimeflash cm majanga matupu
Ngoja niweke ambayo imepigwa na kitochi🤣🤣🤣ht ukozoom hupati kitu