Bado mimi nini mkuu??Bado wewe
KaphotoBado mimi nini mkuu??
Wewe ni shujaaNimepitia huu uzi comment moja baada ya moja.
Sikutaka kucomment hadi nilipoona mjadala kuhusu picha zinazosemekana ni mwanadada Scorpio me zikitumika kukandamiza warembo waliopost picha zao huku.
View attachment 1219660
Hii ni picha aliyopost akiwa ufukweni na hapo alipoitoa hiyo picha.
View attachment 1219661View attachment 1219662
Kwa ambao mlikuwa mnashobokea hizi picha huyu mdada sio mtanzania wala sio Mwafrika.
Hivo msikandie vyakwenu kwa kusifia vya kizungu/kiarabu.
Hizo ni picha alizopost Scorpio akisema ndio katoka kuniaje.
View attachment 1219664View attachment 1219665
Hiyo ya miguu haina haja ya maelezo.
Na nyinginezo ni hii View attachment 1219666
Lengo la kusema haya ni kuwakumbusha nyie vijana msidanganywe na rangi utamu wa chai ni sukari.
Msitamani ngozi nyeupe na kuona uafrika ni old skuli.
Dada zangu mnaotuma picha zenu mkiwa mazingira ya Kiafrika msife moyo mpaka sasa picha zenu ni bora kuliko za huyu Mzungu.
Naendelea kufuatilia.
Niliona mkono wa kiume safi kabisa.Haha ipo humu mbona
Una mguu wa ukweli
Natamani nipige picha mguu wangu wa kizee ila mhuuuuu.Ha ha haa kumbe nyie ndo mnatisha watu mnaangalia makosa na si lengo la uzi.
Yani mnajipangaa
Hizo sio gaga ni mpauko tu vile sijavaa viatu
Chagua kiungo gani unatakukiona?Niliona mkono wa kiume safi kabisa.
Zamu ya kiungo kingine
Sitamani uniambie hata za Depal sio za kweli [emoji24][emoji24][emoji30][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30]Nimepitia huu uzi comment moja baada ya moja.
Sikutaka kucomment hadi nilipoona mjadala kuhusu picha zinazosemekana ni mwanadada Scorpio me zikitumika kukandamiza warembo waliopost picha zao huku.
View attachment 1219660
Hii ni picha aliyopost akiwa ufukweni na hapo alipoitoa hiyo picha.
View attachment 1219661View attachment 1219662
Kwa ambao mlikuwa mnashobokea hizi picha huyu mdada sio mtanzania wala sio Mwafrika.
Hivo msikandie vyakwenu kwa kusifia vya kizungu/kiarabu.
Hizo ni picha alizopost Scorpio akisema ndio katoka kuniaje.
View attachment 1219664View attachment 1219665
Hiyo ya miguu haina haja ya maelezo.
Na nyinginezo ni hii View attachment 1219666
Lengo la kusema haya ni kuwakumbusha nyie vijana msidanganywe na rangi utamu wa chai ni sukari.
Msitamani ngozi nyeupe na kuona uafrika ni old skuli.
Dada zangu mnaotuma picha zenu mkiwa mazingira ya Kiafrika msife moyo mpaka sasa picha zenu ni bora kuliko za huyu Mzungu.
Naendelea kufuatilia.
Huo mguu nimeuelewaTunaweza kutumia fulsa ya udalali kwenye kuselfika piaView attachment 1219647
Jina linasadifu boss.Duh mkuu wewe ni nyoko.
Ipo mbona angalia vizuriAsante sana haya sasa tuma picha yako halisi sio hizo za bongo movie
Hii inaitwa kutoboa mkuu.Hahahaha mfukua makaburi na umechomoa betri kabisa
Warembo waendelee kupost picha zao ni bora sana kuliko za wazungu.Wewe ni shujaa
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji125][emoji125]View attachment 1219653
Tunapenda kuibiwa hiyo ndio sababu.Scorpio me kusifiwa kote kule kumbe picha sio wewe daaaah wanaume tunaibiwa kweupe
Kaamua kumpunguzia dada Pm sembufu hahhahaJamaa noma sana
We kaka wewe ππππππππWarembo waendelee kupost picha zao ni bora sana kuliko za wazungu.
Au unasemaje boss.