Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana mkuu miguu ya huyo dada ni mizuri sana ata kama sio yeye... ila kama duniani kuna miguu mizuri kama hiyo basi ipewe sifa... Basi kwa upande wangu siwezi kusema uongo ili kuwaridhisha waafrika

Miguu ya huyo dada ni mizuri, ni mizuri sana kuliko picha zote zilizo postiwa hapa kwenye huu uzi

Ni kweli zile picha sio zake..ila ni nzuri na siwezi kuamini kama hawa wengine walio weka picha ni 100% za kwao ....

Kwaiyo bado nasimamia mawazo yangu katika picha zote zilizo wekwa hapa, nimependa miguu ya huyo dada
Boss, hauwezi kupambanisha vitu viwili ambavo ni tofauti kabisa.
Hauwezi kumpambanisha mzungu na mwafrika hata siku moja ili kujua yupi ni mzuri au yupi ni mbaya.
Ukoloni umeshaisha ila inaonekana akili yako umegoma kuitoa kwenye utumwa.
Nakukumbusha., ili kufanya comparison tafuta vitu vyenye sifa moja, mzungu kwa mzungu, mwafrika kwa mwafrika unless unaniambia wazungu ni wazuri kuliko waafrika.
 
wanasema ukitaka kumjua mtu had uone macho
20190930_143216.jpeg
 
Back
Top Bottom