Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakaka Wajanja humu ni wa kuokota lakini wengi tuko nao kwa mtogole ila ndo wanaongoza kwa kutuponda
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nilishangaa maana nilikuwa namwonaga mjanja ila sasa jana nimegundua kitu kingine.
 
Mpaka sasa nishaona ndugu zangu wawili mmoja mtoto wa shangazi mwingine mtoto wa baba mdogo huyu mtoto wa shangazi picha alorusha humu kasahau kuwa na isragram kajirushia hiyo hiyo..
Huyu wa baba mdogo yeye alipopigia hiyo picha na mimi nilikuwepo na siku hiyo tulikuwa kwenye kipaimara cha mtoto wa brother yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…