plus vishimo vya mashavuni
hakika Mungu hapa aliumba
Nathibitisha.
Aaaa hem niuone huo. picha inategemea umepigaje piaKwa wapenda mashine huu mguu una mguu mwenzie mfupi
Vile vidole basi dada fanya mambo
Ah huyo hangaikeni naye wenyewe mimi ndiyo maana niko kama simuoni vileHahahaha naona Bella Ciao ndo anachokitaka kutoka kwangu
Naisubiri nakuaminia maaa
Hivi kuna kizur zaidi ya pombeTukiweka nzuri za watu mnatunanga.
Najua zipo unanibania..nakuja pm
Kumbe hana swaga hata za kuazima [emoji23][emoji23]
Emu tutulie dada
Waje chit chat kumenogaWatakuja tu wengi bado hawajauelewa uzi,
MMU kumepwaya
Ngoja nihakikiNimetuma Sasa hivi Sasa jiandae kwa mrogo wangu.[emoji23][emoji23]View attachment 1219791
Hivi kuna kizur zaidi ya pombe
Maybe mtakua mnawafanya hawa jamaa wachome nauli zao wakizani yaliyomo yamo kumbe hamna ndo maana wanakasirika kukosa kile walichokitarajia
Yote tisa bora kujikubali
Una sh ngapi sema fasta fasta??Weka tena
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nilishangaa maana nilikuwa namwonaga mjanja ila sasa jana nimegundua kitu kingine.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]We mtoto cheupe
Nimeliona hili suala 😂😂Wakaka Wajanja humu ni wa kuokota lakini wengi tuko nao kwa mtogole ila ndo wanaongoza kwa kutuponda
Ngoja nikague ukurasa mmoja badala ya mmoja nitaionaHehehehe subiri hapo hapo
KaribuOooh.. asante dear.