Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpaka sasa nishaona ndugu zangu wawili mmoja mtoto wa shangazi mwingine mtoto wa baba mdogo huyu mtoto wa shangazi picha alorusha humu kasahau kuwa na isragram kajirushia hiyo hiyo..
Huyu wa baba mdogo yeye alipopigia hiyo picha na mimi nilikuwepo na siku hiyo tulikuwa kwenye kipaimara cha mtoto wa brother yetu.
Basi kaa hapo wasome miandiko ufurahi kwa raha zako

mpaka sasa sijapataga mtu mwenye ID humu naemfahamu huku kitaa
 
Nacheza na akili zao si majinga haya... Wadada wenye akili na walio starabika huwezi kuta wanabishana icho kitu..

Kama Meeyah, na sakayo ni watu waliostarabika.. Hata kama ni kweli nimekosea wangetumia njia ya kistaarabu kuniambia

We angalia akili zao zilivyo mbovu wameshaanza kutumia personal attacks..

Hata mimi nimepoteza mda mwingi sana bora ningesoma biblia, Nilijua Jf wamestaaribika kumbe wapi..

Sasa hiyo ni mi mama ya miaka 30 inashindana na mimi miaka 20 ...ulafu unakuta ina mitoto mikubwa

Kwa hiyo kwasababu una miaka 20 wao wana 30 ndio unataka kuonewa huruma sababu ni mdogo?

Kwanza huna adabu kama unajua unaobishana nao wamekuzidi na wana watoto wakubwa...kaa kimya!!
 
Mpaka sasa nishaona ndugu zangu wawili mmoja mtoto wa shangazi mwingine mtoto wa baba mdogo huyu mtoto wa shangazi picha alorusha humu kasahau kuwa na isragram kajirushia hiyo hiyo..
Huyu wa baba mdogo yeye alipopigia hiyo picha na mimi nilikuwepo na siku hiyo tulikuwa kwenye kipaimara cha mtoto wa brother yetu.
[emoji3][emoji3]Kwahyo unaenda kuwasemea?
 
Mpaka sasa nishaona ndugu zangu wawili mmoja mtoto wa shangazi mwingine mtoto wa baba mdogo huyu mtoto wa shangazi picha alorusha humu kasahau kuwa na isragram kajirushia hiyo hiyo..
Huyu wa baba mdogo yeye alipopigia hiyo picha na mimi nilikuwepo na siku hiyo tulikuwa kwenye kipaimara cha mtoto wa brother yetu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom